Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,653
- 25,661
Nakushauri kwanza tafuta mwalimu wa kiswahili sanifu, mwalimu wa isimu ukimaliza hapo mtafute mwalimu wa English structure usiende kwenye syntax wala stylistics sababu kuandika kwako unaonekana kama language proficiencyyako ni ya darasa la nne.
Mkuu, ukitaka kumshauri mtu ambae haelewi, huanzi na kumshusha kama ulivyomwambia kwani tayari umefahamu ana kasoro kwenye grammar hivyo wewe mwonyeshe njia tu hiyo inatosha sana.