big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 401
- 1,089
Fremu za kariakoo nyingi zinaboa na vilemba ni chache sana (za kubahatisha sana sio kidogo) zisizo na vilemba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu LamomyHeri ya mwaka mpya wanajamvini
Niende moja kwa moja kwenye point… nina 10m itaweza kutosha kuingia kkoo??
Mawazo ya biashara ni
1. Chupi na sidiria, night dresses
2. Cosmetics
Naomba kuuliza frame za kawaida zinarange sh ngapi?? Na mtaji kiasi gani
Au mwenye wazo tofauti please
Kuna mtu kanishauri niende china lakini kwa mwanzo kwenda huko naona bado