Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,215
- 2,418
Heri ya mwaka mpya wanajamvini
Niende moja kwa moja kwenye point… nina 10m itaweza kutosha kuingia kkoo??
Mawazo ya biashara ni
1. Chupi na sidiria, night dresses
2. Cosmetics
Naomba kuuliza frame za kawaida zinarange sh ngapi?? Na mtaji kiasi gani
Au mwenye wazo tofauti please
Kuna mtu kanishauri niende china lakini kwa mwanzo kwenda huko naona bado
Niende moja kwa moja kwenye point… nina 10m itaweza kutosha kuingia kkoo??
Mawazo ya biashara ni
1. Chupi na sidiria, night dresses
2. Cosmetics
Naomba kuuliza frame za kawaida zinarange sh ngapi?? Na mtaji kiasi gani
Au mwenye wazo tofauti please
Kuna mtu kanishauri niende china lakini kwa mwanzo kwenda huko naona bado