Huyu wa kuulizia bei ya single room isamilo atakuweza?,huyu wa igoma,mkolani,buhobgwa au pasiansiSehemu nzuri ya kuishi ni nyegezi
Kalfonia
Isamilo na
Kapirpoint
yepi = yapi*Nataka kahamia Mwanza ni maeneo yepi mazuri ya kuishi ambayo hayapatikani na madhara kipindi cha mvua na wala hukai chini ya miamba?
Ushauri tahadhali
Hapana, sio kisiwa. Ni mwendo wa nusu saa kuvuka kwa feri, hapo ndio barabara ya kwenda Sengerema hadi Geita, Bukoba; etc inaanzia. Lakini kuna barabara nyingine ya kuelekea hizo sehemu kutokea jijini Mwanza inapitia Busisi Ferry, umbali wa kama kilometa 40. Hapo Kamanga pako poa sana, hakuna vurugu kama za town, ila itategemea na shughuli zako maana sina uhakika kama feri ya Kamanga ni masaa 24 labda wenyeji wa huko watujuze maana mimi ni mpita njia tu huko Mwanza japo huwa napita njia hiyo mara kwa mara!So kamanga ni kisiwa? Ndani ya ziwa
Kweli mkuu sehem zingine za bei ndogo aende MabatiniHuyu wa kuulizia bei ya single room isamilo atakuweza?,huyu wa igoma,mkolani,buhobgwa au pasiansi
KoromijeNataka kahamia Mwanza ni maeneo yepi mazuri ya kuishi ambayo hayapatikani na madhara kipindi cha mvua na wala hukai chini ya miamba?
Ushauri tahadhali
Feri ya kamanga sio masaa 24 ya busisi ndio inafanya kazi masaa 24Hapana, sio kisiwa. Ni mwendo wa nusu saa kuvuka kwa feri, hapo ndio barabara ya kwenda Sengerema hadi Geita, Bukoba; etc inaanzia. Lakini kuna barabara nyingine ya kuelekea hizo sehemu kutokea jijini Mwanza inapitia Busisi Ferry, umbali wa kama kilometa 40. Hapo Kamanga pako poa sana, hakuna vurugu kama za town, ila itategemea na shughuli zako maana sina uhakika kama feri ya Kamanga ni masaa 24 labda wenyeji wa huko watujuze maana mimi ni mpita njia tu huko Mwanza japo huwa napita njia hiyo mara kwa mara!
Uko rightKweli mkuu sehem zingine za bei ndogo aende Mabatini
Pamba road mchafu koga
Igogo
Bugarika na
Kitangiri