BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 331
- 526
Kwa ufupi tu Nataka kwenda Kuanzisha Makazi huko Canada.
Kwa Anayejua Gharama za Maisha huko pls toa tips, Nyumba za kuishi bei zake wapi pako poa , wapi eneo kwenye Amani kwa black kuishi, gharama za chakula.
Pia Nawezaje Kuanzisha duka huko hata languo I'li niasiache asili yangu.
Nimewakilisha.
#kama huwahi kuwa Canada Hebu pita mbali staki bla bla za uwongo.
Nahitaji Tangible / Facts
Kwa Anayejua Gharama za Maisha huko pls toa tips, Nyumba za kuishi bei zake wapi pako poa , wapi eneo kwenye Amani kwa black kuishi, gharama za chakula.
Pia Nawezaje Kuanzisha duka huko hata languo I'li niasiache asili yangu.
Nimewakilisha.
#kama huwahi kuwa Canada Hebu pita mbali staki bla bla za uwongo.
Nahitaji Tangible / Facts