The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,409
- 1,811
Ninaomba njia ulizotumia ukafika juu haraka (kwa mda mfupi) coz mimi pia nahitaji mafanikio haya
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/531938-nijiingize-shambani-au-nifuge-kuku-wa-kienyeji-kwa-mtaji-wa-laki-mbili.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/683137-kazi-ya-kuajiriwa.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/675108-natafuta-mbuzi-4-wa-maziwa-niko-tengeru-arusha.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/284893-nina-milioni-20-je-nifanye-nayo-biashara-gani.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/585669-nataka-kununua-gari-sasa.html
Ndio pesa ninayo wala si Kidogo
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/531938-nijiingize-shambani-au-nifuge-kuku-wa-kienyeji-kwa-mtaji-wa-laki-mbili.html
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/689642-ujenzi-wa-ghorofa-tatu.htmlHabari za Leo.
Nakuja hapa kwa heshima kubwa iliyo ndani ya Jukwaa hili.
Nataka kuhama Bongo/Tanzania Muda wowote ila sijaafiki Nchi nitakayoenda nitakapoondoka.
Hivyo naomba bila hiyana mniongoze katika hili
Je Ni Nchi gani Barani Africa hata Ulaya ,Amerika na Mashariki ya Kati naweza.kuwa Mhamiaji Bila Usumbufu?
Ushauri wako ni Muhimu Zaidi.
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/683137-kazi-ya-kuajiriwa.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/675108-natafuta-mbuzi-4-wa-maziwa-niko-tengeru-arusha.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/284893-nina-milioni-20-je-nifanye-nayo-biashara-gani.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/585669-nataka-kununua-gari-sasa.html