Wadau za jioni,
Mimi ni kijana mwenye miaka 32, niko Kijijini. Nimemake kiasi cha Tsh. milioni 1 nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki huku huku kijijini ila sijui kama fedha hizo zitatosha kama mtaji wa kuanzia
Nataka nianze na duka dogo tu
Naombeni ushauri na wazoefu naombeni mwongozo
Mimi ni kijana mwenye miaka 32, niko Kijijini. Nimemake kiasi cha Tsh. milioni 1 nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki huku huku kijijini ila sijui kama fedha hizo zitatosha kama mtaji wa kuanzia
Nataka nianze na duka dogo tu
Naombeni ushauri na wazoefu naombeni mwongozo