wayaboi
Member
- Mar 23, 2023
- 37
- 53
Habari wakuu, nlikuwa naomba msaada Kwa wazoefu, ninataka kufungua duka la vifaa vya useremala lakini nataka kuanzia na vichache vyenye matumizi ya kila siku kama misumari ya aina zote, msasa, rangi, vitu vya urembo kwenye furniture, siller,
- Kwa mwenye uzoefu wa hivi vitu mkoa wa morogor, kiwango Cha chini Cha mtaji kiwe shngapi
Natanguliza shukrani
- Kwa mwenye uzoefu wa hivi vitu mkoa wa morogor, kiwango Cha chini Cha mtaji kiwe shngapi
Natanguliza shukrani