Cherrylicious
Member
- Dec 1, 2010
- 37
- 2
Jambo wadau,
Ninataka nifungua ka school/chuo cha computer mtaani kwetu kwani nimeona hakuna mtaani na ina demand kubwa.
Msaada wapi nitapata computers kwa bei nzuri?
Ninataka nifungua ka school/chuo cha computer mtaani kwetu kwani nimeona hakuna mtaani na ina demand kubwa.
Msaada wapi nitapata computers kwa bei nzuri?