palesh pizoo
Senior Member
- Apr 14, 2018
- 131
- 223
Habari za kazi wapambanaji mimi ni mkazi wa Dodoma mjini nilipoanza mwaka 2020 nliandaa mpango wa kufungua saloon ya kusuka ifikapo mwezi March mwaka huu lakin ilipofika huo mwezi ikawa kumeingiliana na mambo ya Corona hali ikawa sio nzuri nikahofia sananhasa kwa biashara ambayo inaanza nilipata hofu kidogo kutokana na ile hali maana hata walioanza kufanya biashara muda mrefu kwa kipindi hiki walisikika wakilalamikia kuyumba kwa biashara zao na miongoni mwa wafanyabiashara wengi humu wamo.
Ombi langu kwenu naona muda unazidi kuenda na tangu huo muda sijafanya biashara yoyote mpaka sasa natamani kuianzisha maana serikali inatupa imani kuwa corona imepungua.
Je, hali mnaionaje wafanya biashara ambao tayar mpo kwenye biashara muda mrefu na mmepitia kipindi cha korona vip hali ya biashara bado ni ngumu au ahueni? Na je naweza kuanzisha tu biashara yangu kwa sasa?
NAOMBA KUWASILISHA
Ombi langu kwenu naona muda unazidi kuenda na tangu huo muda sijafanya biashara yoyote mpaka sasa natamani kuianzisha maana serikali inatupa imani kuwa corona imepungua.
Je, hali mnaionaje wafanya biashara ambao tayar mpo kwenye biashara muda mrefu na mmepitia kipindi cha korona vip hali ya biashara bado ni ngumu au ahueni? Na je naweza kuanzisha tu biashara yangu kwa sasa?
NAOMBA KUWASILISHA