kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu
Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tatizo linanijia nikishachukua hizo hela sielewi nifungue biashara gani iweze kunisaidia.
Kama ungekua ndo wewe ungezifanyia nini hizo hela?
Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tatizo linanijia nikishachukua hizo hela sielewi nifungue biashara gani iweze kunisaidia.
Kama ungekua ndo wewe ungezifanyia nini hizo hela?