Nataka kuchukua Mkopo wa sh milion 25

kabila01

JF-Expert Member
Apr 21, 2009
4,235
4,949
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu
Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tatizo linanijia nikishachukua hizo hela sielewi nifungue biashara gani iweze kunisaidia.
Kama ungekua ndo wewe ungezifanyia nini hizo hela?
 
Ndugu Kabila, uko serious kweli? Unaweza kufikia hatua ya kusema unachukua mkopo wa sh. mil 25 na haujawa na business plan ya unaufanyia nini? Siamini kama kweli otherwise kama ndivyo nakushauri mkopo huo uuache kwanza mpaka utakapokuwa na maono ya jinsi gani unataka kuutumia.

Hata hivyo business yoyote inategemea na wewe mwenyewe uwezo wako katika fani hii, nini unasikia moyoni unaweza ukafanya na je mahali unapotaka kufanyia unaona kama mali/bidhaa itapatikana kwa urahisi na je wateja wanapatikana maeneo hayo.

Zaidi ni bora kufanya biashara ambayo una ujuzi nayo k.m kama ni mtaalam wa kilimo kuanzisha biashara ya kulima na ufugaji.
 
Nunua Hiace - TEGETA - MWENGE. (22m JAPAN USED) Utalaza kila siku 30,000/=, Non stop.
Kwa mwezi 900,000/=, Kwa Mwaka 10,800,000/=
Mwaka wa Pili = 21,600,000=
Mwaka wa pili na Nusu = 27,000,000/=

Toa Less 25% ya 27m kama matengenezo. 6.75m

Hili gari litakuwa limefanya miaka 2 na nusu - Liuze kwa Half Price.

Ongeza pesa ulizonazo nunua jipya, Change weka akiba - Endelea na kazi.

Unatakiwa kuwa mwangalifu kwa Madereva na Konda, lakini likuwa jipya matatizo si mengi sana.
 
Thanks wadau mliotangulia kwa mawazo yenu mazuri. Nacho ki avoid mimi ni ile kuchukua mkopo then unannunua Harrier ya kutembelea baada ya hapo unaanza ku experience machungu ya kukatwa mshahara kwa miaka mitatu, na wakati huo gari linahitaji service mbalimbali then after three years unakuja kuliuza kwa bei ndogo na halijaingiza kitu chochote
 
Nunua Hiace - TEGETA - MWENGE. (22m JAPAN USED) Utalaza kila siku 30,000/=, Non stop.
Kwa mwezi 900,000/=, Kwa Mwaka 10,800,000/=
Mwaka wa Pili = 21,600,000=
Mwaka wa pili na Nusu = 27,000,000/=

Toa Less 25% ya 27m kama matengenezo. 6.75m

Hili gari litakuwa limefanya miaka 2 na nusu - Liuze kwa Half Price.

Ongeza pesa ulizonazo nunua jipya, Change weka akiba - Endelea na kazi.

Unatakiwa kuwa mwangalifu kwa Madereva na Konda, lakini likuwa jipya matatizo si mengi sana.
Asante sana kwa ushauri wa kina na mzuri kwa mr kabila ningependa na mimi kukufahamu zaidi kama utaruhusu.
 
Nunua Hiace - TEGETA - MWENGE. (22m JAPAN USED) Utalaza kila siku 30,000/=, Non stop.
Kwa mwezi 900,000/=, Kwa Mwaka 10,800,000/=
Mwaka wa Pili = 21,600,000=
Mwaka wa pili na Nusu = 27,000,000/=

Toa Less 25% ya 27m kama matengenezo. 6.75m

Hili gari litakuwa limefanya miaka 2 na nusu - Liuze kwa Half Price.

Ongeza pesa ulizonazo nunua jipya, Change weka akiba - Endelea na kazi.

Unatakiwa kuwa mwangalifu kwa Madereva na Konda, lakini likuwa jipya matatizo si mengi sana.

Good idea
 
Ndugu Kabila, uko serious kweli? Unaweza kufikia hatua ya kusema unachukua mkopo wa sh. mil 25 na haujawa na business plan ya unaufanyia nini? Siamini kama kweli otherwise kama ndivyo nakushauri mkopo huo uuache kwanza mpaka utakapokuwa na maono ya jinsi gani unataka kuutumia.

Hata hivyo business yoyote inategemea na wewe mwenyewe uwezo wako katika fani hii, nini unasikia moyoni unaweza ukafanya na je mahali unapotaka kufanyia unaona kama mali/bidhaa itapatikana kwa urahisi na je wateja wanapatikana maeneo hayo.

Zaidi ni bora kufanya biashara ambayo una ujuzi nayo k.m kama ni mtaalam wa kilimo kuanzisha biashara ya kulima na ufugaji.

Kweli kaka
 
Umeongea point kubwa sana Mkuu, na barabara zetu zilivyo na ajali nyingi unaweza kubaki na majonzi. Mkuu ushauri wangu omba mawazo zaidi kwa biashara ipi ya kufanya ukishaziweka hizo 25 million kibindoni.

Hapo inabidi aangalie na changamoto za barabarani,hyo haina uhakika
 
Umeongea point kubwa sana Mkuu, na barabara zetu zilivyo na ajali nyingi unaweza kubaki na majonzi. Mkuu ushauri wangu omba mawazo zaidi kwa biashara ipi ya kufanya ukishaziweka hizo 25 million kibindoni.

Kweli kaka unaweza kukuta m25 zinapotea
 
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu
Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tatizo linanijia nikishachukua hizo hela sielewi nifungue biashara gani iweze kunisaidia.
Kama ungekua ndo wewe ungezifanyia nini hizo hela?

Jaribu kuelezea na taaluma yako upate ushauri utakao kufaa
Tunaweza kukupa mawazo mengi tu ambayo ni mazuri lakini yakawa hayajakuvutia kutokana na taaluma yako
 
Unajua kuna watu bila kutapeliwa hawana furaha hivi.Sasa we nenda kakope , ili uelewe vizuri wanapo lalamika wenzio wanamaanisha nini!
 
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu
Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tatizo linanijia nikishachukua hizo hela sielewi nifungue biashara gani iweze kunisaidia.
Kama ungekua ndo wewe ungezifanyia nini hizo hela?
Ningeweka heshima bar na kununua Altezza
 
Back
Top Bottom