Mmh kuridi bitwini ze laini sitaki dearest!Siku akinichoka ataniambia mtu mwenyewe ulijipendekeza bila hata kutamkiwa!
Tunatoana ili tusioneane wivu dearest!Hamna kutesa kwa zamu...tunatesa pamoja!
........When a man truly loves his woman the only thing he would ever want to change about her is HER LAST NAME...from her own to his!....... Jamani mi nataka mtu wakunipa jina lake!Kigezo ni kimoja tu...AWE NA MAPENZI YA KWELI ambayo ndio yatamsukuma kuniheshimu...kunijali na kufanya kazi kwa bidii ili tuweze kujikimu! Kwa hisani ya MPENDWA umri wangu ni miaka 23!
Dearest yani as long as the man is capable of loving me..i'm good!Umri ni namba tu!
ndo maana nakupenda.....wanaume wetu watakuwa marafiki kama sisi......l.o.l
i wish iwe true unajua.....am smiling hapa as if its happening.....crazy me!!
........When a man truly loves his woman the only thing he would ever want to change about her is HER LAST NAME...from her own to his!....... Jamani mi nataka mtu wakunipa jina lake!Kigezo ni kimoja tu...AWE NA MAPENZI YA KWELI ambayo ndio yatamsukuma kuniheshimu...kunijali na kufanya kazi kwa bidii ili tuweze kujikimu! Kwa hisani ya MPENDWA umri wangu ni miaka 23!
:A S 13::A S 13::A S 13: yaani hizo busara zote na akili you are only 23??? kweli umri si ishu....huh?????:A S 13::A S 13::A S 13:
Mwambie ajiunge basi!!Hahahahaha...Dearest bwana!Then ntamuadopt!