Nenda kasome kozi ya Postgraduate Diploma in Education (PGDE), ni kozi ya muda mfupi kama miezi tisa hivi. Baada ya hapo utaajiriwa kama mwalimu serikalini na wataku-value kama mtumishi mwalimu mwenye first degree au kama kuna tofauti ni ndogo sana!!
nenda duce fees yao ni 3.2 millionMsaada wa kujua vyuo vinavyotoa pgde hapa Tanzania na hata gharama zake ikiwezekana.
Msaada wa kujua vyuo vinavyotoa pgde hapa Tanzania na hata gharama zake ikiwezekana.
Sory Wakuu Kwa Hy Ukmalza Hyo K2 Unbjriwa Mja Kwa Mja? Au Unaanza Kuomb Wizaran?
Kwa uandishi huu, hauwezi kuwa mwalimu! Hivi kwanza wajua kama ualimu ni wito? Njaa yako isikupeleke ukafanya kazi usiyokuwa na wito nayo! Hata hivyo, nina mashaka na shahada yako hiyo ya sosholojia!Sory Wakuu Kwa Hy Ukmalza Hyo K2 Unbjriwa Mja Kwa Mja? Au Unaanza Kuomb Wizaran?
eti ualimu ni wito" mtu mzima acha kuwa mfuasi wa kauli za kijinga. Kama ni wito mbona wanakatwa kodi... ahahah....division v bhanaKwa uandishi huu, hauwezi kuwa mwalimu! Hivi kwanza wajua kama ualimu ni wito? Njaa yako isikupeleke ukafanya kazi usiyokuwa na wito nayo! Hata hivyo, nina mashaka na shahada yako hiyo ya sosholojia!
Join Date; 10.01.2014.Posts; 40.Reply Power; 311.Likes received; 4. Likes given; 0.TOO YOUNG TO ARGUE CRITICALLY! Rudi shule kwanza, wenzako wako darasani, wewe unatuchungulia baba zako hapa JF!eti ualimu ni wito" mtu mzima acha kuwa mfuasi wa kauli za kijinga. Kama ni wito mbona wanakatwa kodi... ahahah....division v bhana
Kwa uandishi huu, hauwezi kuwa mwalimu! Hivi kwanza wajua kama ualimu ni wito? Njaa yako isikupeleke ukafanya kazi usiyokuwa na wito nayo! Hata hivyo, nina mashaka na shahada yako hiyo ya sosholojia!
DUCE, MUCE, TEKU, OUT na n.k!! Wacha uvivu ndugu! Wewe ni graduate bana, kama umeweza kucheza na JF unashindwa kusearch vyuo vinavyotoa PGDE Tanzania?? Nenda ka`gugu` utapata website zao, humo utajua kila kitu kama duration yake na fee lakini pia applications wanaanza kupokea lini mana vyuo vingi dirisha la 2013/14 lilishafungwa
siku izi walimu ni wengi huwezi pewa kazi ya ualim na wizara mpaka usome postgraduate diploma ya ualimu mwaka1 hiyo kozi imewekwa kwa ajili ya watu ambao wamesoma degree tofauti na ualim kama law, account na zingine wanaotaka kua walim na wale waliosoma ualim ila walipata pass tu kwnye degree na wanataka kusoma master
Join Date; 10.01.2014.Posts; 40.Reply Power; 311.Likes received; 4. Likes given; 0.TOO YOUNG TO ARGUE CRITICALLY! Rudi shule kwanza, wenzako wako darasani, wewe unatuchungulia baba zako hapa JF!
Asante mkuu kwa kuniongezea maarifa.
Join Date; 10.01.2014.Posts; 40.Reply Power; 311.Likes received; 4. Likes given; 0.TOO YOUNG TO ARGUE CRITICALLY! Rudi shule kwanza, wenzako wako darasani, wewe unatuchungulia baba zako hapa JF!