kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
HEHEHEEE wasomi mtafungwa na serikali za miaka ijayo heslb atakomaaa na mahela yake
nenda duce fees yao ni 3.2 million
nenda duce fees yao ni 3.2 million
Sory Wakuu Kwa Hy Ukmalza Hyo K2 Unbjriwa Mja Kwa Mja? Au Unaanza Kuomb Wizaran?
angalia ulivyo na upeo mdogo eti unaangalia joining date at jf ahahah.... Watu tuna account zaida ya mia hapa ..mburula
Sory Wakuu Kwa Hy Ukmalza Hyo K2 Unbjriwa Mja Kwa Mja? Au Unaanza Kuomb Wizaran?
Sory Wakuu Kwa Hy Ukmalza Hyo K2 Unbjriwa Mja Kwa Mja? Au Unaanza Kuomb Wizaran?
Msaada wa kujua vyuo vinavyotoa pgde hapa Tanzania na hata gharama zake ikiwezekana.
Msaada wa kujua vyuo vinavyotoa pgde hapa Tanzania na hata gharama zake ikiwezekana.
chutama.....Join Date; 10.01.2014.Posts; 40.Reply Power; 311.Likes received; 4. Likes given; 0.TOO YOUNG TO ARGUE CRITICALLY! Rudi shule kwanza, wenzako wako darasani, wewe unatuchungulia baba zako hapa JF!
Jaman nimemaliza udsm 2012 fani ya sociology na cna kazi ila nataka niende wizara ya elimu japo niwe mwalimu. naomben ushauri km inawezekana wadau
Masters kwa huu mtizamo wako finyu? Sishangai lakini maana siku hizi mnafaulu kujiunga na kidato cha kwanza wakati hamjui kusoma wala kuandika!ahahah... Jiangalie mtu mzima ovyo..am old enough na nachukua masters in mathematics so jiangalie na kauli zako ahahaha...
Join Date; 10.01.2014.Posts; 40.Reply Power; 311.Likes received; 4. Likes given; 0.TOO YOUNG TO ARGUE CRITICALLY! Rudi shule kwanza, wenzako wako darasani, wewe unatuchungulia baba zako hapa JF!