aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa kuwa bei gani.
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz