Salamu zenu Wadau, binafsi ni mchakalikaji na hivi karibuni nimepata mtaji kama milioni 6 hivi, mawazo yangu ni kufungua biashara ya kuuza mchele kutoka Mbeya, Moro,Tabora kwenda zanzibar.
Tayari nina watu wa kunikusanyia mchele na unapatikana sana. Naomba mawazo yenu, ushauri na changamoto zilizopo kuvusha mchele zanzibar.
Malengo ni kuwa supplier mkubwa wa mchele visiwani Zanzibar.
Tayari nina watu wa kunikusanyia mchele na unapatikana sana. Naomba mawazo yenu, ushauri na changamoto zilizopo kuvusha mchele zanzibar.
Malengo ni kuwa supplier mkubwa wa mchele visiwani Zanzibar.