Nataka kuachana na huduma za AIRTEL

Nataka kuachana na huduma za AIRTEL

Kwa nin halotel mkuu....!
1. Network stability. Kwa kuwa wanatumia transmission ya fiber cable kwa asilimia kubwa ya network yao basi wana kuwa hawaathiriki sana na hali ya hewa.

2. Wana capacity kubwa ya transmission na wateja ni wachache so network yao ina speed.

3. Kwa sasa wamesambaa sehemu kubwa ya nchi.
 
1. Network stability. Kwa kuwa wanatumia transmission ya fiber cable kwa asilimia kubwa ya network yao basi wana kuwa hawaathiriki sana na hali ya hewa.

2. Wana capacity kubwa ya transmission na wateja ni wachache so network yao ina speed.

3. Kwa sasa wamesambaa sehemu kubwa ya nchi.
Asante nimekuelewa...!
 
Airtel wanashida sana katika masuala ya Network Yao Kuna maeneo ni mjini kabisa mfano Kariakoo mitaa Msimbazi network ni ya shida sana

Halafu huwa unapounga mabando yanaisha haraka sana

Nimejaribu kudhibiti matumizi ya data na kudhibiti app zisi access internet natumia Twitter tu

Nina miaka 10 natumia AIRTEL nadhani ni wakati wakuachana nayo kwa Sasa

Nisaidieni Mtandao ambao Data zinaenda vizuri na pia Internet yake ya uhakika
Vijana tumeshindwa kutengeneza data kweli? Huwa najiuliza ili uweze kutengeneza data lazima uwe na network? Nadhani ifikie hatua wauza data wawe huria, kila mtu apange bei yake na data iweze kutumika mtandao wowote.

Tutafute solutions, tuache kulalamika
 
Back
Top Bottom