CEPHALEXIN
Member
- Apr 11, 2018
- 97
- 99
Ni kweli voda wadokozi sana hasa kwenye salio wana tabia ya kudokoa sh 100 au zaidiVodacom ndo balaa mkuu....!
Ni kweli voda wadokozi sana hasa kwenye salio wana tabia ya kudokoa sh 100 au zaidiVodacom ndo balaa mkuu....!
Baki huko huko huku tulipo kunatishaAirtel wanashida sana katika masuala ya Network Yao Kuna maeneo ni mjini kabisa mfano Kariakoo mitaa Msimbazi network ni ya shida sana
Halafu huwa unapounga mabando yanaisha haraka sana
Nimejaribu kudhibiti matumizi ya data na kudhibiti app zisi access internet natumia Twitter tu
Nina miaka 10 natumia AIRTEL nadhani ni wakati wakuachana nayo kwa Sasa
Nisaidieni Mtandao ambao Data zinaenda vizuri na pia Internet yake ya uhakika
kuna mtu huku alijiunga kifurushi cha wiki 3000 ikabaki Mia sita. Kuzungukazunguka wakadai mb zimeisha kucheki mb zipo na Mia sita ishaenda na wahuni wa voda.Voda ndo wezi kabisa jamani?
Kila siku nikiacha salio nakuta wamekata Mia mbili ata sijui nini.
Daima internet yso xero. Nashangaa umesubiri nn huko,,,!!Kwenye bando wako vizuri, ila kuna kipindi network ni tatizo
Japo bandi zao ni ghali lakini ndiyo yenye intranet Bora kabisa kuliko mitandao yote,haichagui iwe vijijini au mijini.Vodacom ndo balaa mkuu....!
Mkuu. Mambo yote Vodacom halafu uwe na simu ya kueleweka.Upo wapi kwa sasa tupe manufaa ya huko hasa data
Airtel wanashida sana katika masuala ya Network Yao Kuna maeneo ni mjini kabisa mfano Kariakoo mitaa Msimbazi network ni ya shida sana
Siku hizi hakuna kitu.Kama upo mjini tumia halotel
S.Note8 inahimili? Bando la mwezi la 20k napata GB ngapi? Nazinatoboa mwezi? Matumizi yangu ni.social media ukitoa IG na YouTubeMkuu. Mambo yote Vodacom halafu uwe na simu ya kueleweka.
Sio mtu unatumia Infinix halafu mtandao ni halotel. Kila ukijaza bando lazima u restart simu.
Nshatupa line yao mwezi janaSiku hizi hakuna kitu.
Komenti yako imekaa kichawi sana!Kiukweli ukweli makampuni ya simu hamna lenye nafuu wala afadhali wote ni Mama na Baba mmoja.
Ikibidi baki tu huko uliko kuzowea kuliko kufuata mauza uza mapya huku tuliko.
Wanakera sana Na Hizo data asilimia 75Ukishatumiwa ujumbe wa umetumia 75% ya data ukizima na kuwasha data muda huo unaambiwa kifurushi kimeisha, ukiulizia salio unakuta si kweli
Wanaudhi sana
Karibu vodacom TanzaniaAirtel wanashida sana katika masuala ya Network Yao Kuna maeneo ni mjini kabisa mfano Kariakoo mitaa Msimbazi network ni ya shida sana
Halafu huwa unapounga mabando yanaisha haraka sana
Nimejaribu kudhibiti matumizi ya data na kudhibiti app zisi access internet natumia Twitter tu
Nina miaka 10 natumia AIRTEL nadhani ni wakati wakuachana nayo kwa Sasa
Nisaidieni Mtandao ambao Data zinaenda vizuri na pia Internet yake ya uhakika
Niliamua kurudi voda ni nikaacha kulalamaIla airtel bhana [emoji16][emoji16] wana-matangazo mazuri sana ila sasa kwenye huduma ndo kilio.
Amini usiamini, vodacom ndio mtandao bora Tz