Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 732
- 1,746
Airtel wanashida sana katika masuala ya Network Yao Kuna maeneo ni mjini kabisa mfano Kariakoo mitaa Msimbazi network ni ya shida sana
Halafu huwa unapounga mabando yanaisha haraka sana
Nimejaribu kudhibiti matumizi ya data na kudhibiti app zisi access internet natumia Twitter tu
Nina miaka 10 natumia AIRTEL nadhani ni wakati wakuachana nayo kwa Sasa
Nisaidieni Mtandao ambao Data zinaenda vizuri na pia Internet yake ya uhakika
Halafu huwa unapounga mabando yanaisha haraka sana
Nimejaribu kudhibiti matumizi ya data na kudhibiti app zisi access internet natumia Twitter tu
Nina miaka 10 natumia AIRTEL nadhani ni wakati wakuachana nayo kwa Sasa
Nisaidieni Mtandao ambao Data zinaenda vizuri na pia Internet yake ya uhakika