yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,403
Habari wakuu Mwenye gari zuri no kuanzia B Nipo DSM kama upo nicheki.
Lakini lazima twende TRA,na polisi kwa ajili ya ukaguzi wa umiliki pia kutest gari umbali mrefu lisije kwenda kilomita moja likachemsha.
gari ndogo za kawaida isiwe
\
passo
vits
ist
Lakini lazima twende TRA,na polisi kwa ajili ya ukaguzi wa umiliki pia kutest gari umbali mrefu lisije kwenda kilomita moja likachemsha.
gari ndogo za kawaida isiwe
\
passo
vits
ist