Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Jamani natafuta wa kumjua humu ndani.
Awe mmoja tu, wakiwa wengi itakua karaha.
My wife ni mmoja wa moderator humu mjengoni, so usini-mention jina atanuna, nitanyimwa kifungua kinywa cha alfajiri, ukinitumia PM ataiona, nahisi keshaniibia password.
Ukitaka tujuane we ninong'oneze tu mie nitajiongeza mdogo mdogo.
Jamani jitokezeni tujuane kabla mwaka haujaisha.
Awe mmoja tu, wakiwa wengi itakua karaha.
My wife ni mmoja wa moderator humu mjengoni, so usini-mention jina atanuna, nitanyimwa kifungua kinywa cha alfajiri, ukinitumia PM ataiona, nahisi keshaniibia password.
Ukitaka tujuane we ninong'oneze tu mie nitajiongeza mdogo mdogo.
Jamani jitokezeni tujuane kabla mwaka haujaisha.