Natafuta

Natafuta

Mwali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
7,012
Reaction score
5,613
Jamani, mwenzenu naanza maisha upya, nahama toka ushongo kuja Dar Es Salaam
Ninatafuta vitu vingi sana, nimekosa jukwaa ya kuweka thread yangu. Vitu vyenewe:

1. Natafuta kazi. Nina uzowefu mkubwa wa kazi za ndani, pia social works
Mshahara uniruhusu kuishi maisha ya kawaida (Nyumba, gari, vocha na mengine)

2. Natafuta mpenzi. Awe kijana, msomi, mwislam, awe open minded, awe na kazi
Pato na umri sio muhimu sana, muhimu awe muelewa sanaaaaa, na aishughulishe

3. Natafuta nyumba dar es salaam. iwe accessible kwa gari, maji na umeme permanent
Vyumba viwili, choo na jiko ndani, parking ndani ya pango. Isizidi tsh laki nne hivi

4. Natafuta Sim ya mkononi ya bei poa, hata kama used. Iwe smartphone nzuri tu

5. Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Awe wa kike au wa kiume sawa tu
Ila ikiwa ni wa kiume awe shoga ili baadae asije akanitongoza.


Asanteni kwa michango
 
Ha ha ha..Wasiliana na Smile ni dalali mzuri sana cha msingi uwe na kamisheni yake tu
 
Last edited by a moderator:
Hapo no 5 umepata mie pia nina simu lakini haina network ni PM tuanze urafiki wetu.
 
Ha ha ha..Wasiliana na Smile ni dalali mzuri sana cha msingi uwe na kamisheni yake tu

Akinisaidia kwa Number moja nitampa kamisheni ya ukwee. Smile uko wapi mpenzi, njoo unisaidie nakuhitaji sana!
 
Last edited by a moderator:
Kazi kweli kweli..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hapo no 5 umepata mie pia nina simu lakini haina network ni PM tuanze urafiki wetu.

Sasa bila sim itakuwaje jamani?
Maana mi JF napata ofisini tu.
 
1. Natafuta kazi. Nina uzowefu mkubwa wa kazi za ndani, pia social works
Mshahara uniruhusu kuishi maisha ya kawaida (Nyumba, gari, vocha na mengine)
Dah mimi kwa hapa nilijiona tajiri kumbe ni maisha ya kawaida haya? salalee sasa kumbe wabongo wengi hatuishi maisha ya kawada
 
5. Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Awe wa kike au wa kiume sawa tu Ila ikiwa ni wa kiume awe shoga ili baadae asije akanitongoza.

Hapo kwenye RED kuna jamaa humu zamani alikuwa anajiita Bwabwa. Sasa hivi anajiita Boflo. Kwenye number 5 anaweza kukusaidia.
 
Last edited by a moderator:
5. Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Awe wa kike au wa kiume sawa tu Ila ikiwa ni wa kiume awe shoga ili baadae asije akanitongoza.

kuna jamaa humu zamani alikuwa anajiita Bwabwa. Sasa hivi anajiita Boflo. Kwenye number 5 anaweza kukusaidia.
Umeanza uchokozi...
 
Dah mimi kwa hapa nilijiona tajiri kumbe ni maisha ya kawaida haya? salalee sasa kumbe wabongo wengi hatuishi maisha ya kawada
hyo ndio standard life

ndio ukweli. Maisha ya kawaida (upande wa material) ni kujitosheleza angalau kwa hayo
Utajiri is something else kabisa, unahusiana na mambo ya investment na hakiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom