Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Nimehitimu shahada (degree) ya Community Economic Development (CED) hivyo mimi pia nimuhusika mkuu katika kazi za Social Works, Social science, Community fields, Community.
Development (planning, monitoring and evaluation), community projects fields.
Ukiachana na hayo kwa sasa connection ndio kitu muhimu nchini kilichosalia, hvy kama wapo ambao wamesomea field hizo related basi usisite kuungana na mm kwenye kuusaka mkate tu ili tuupate.
Nimemaliza chuo cha Ushirika Moshi (Moshi Co-operative University (MoCU).
Kama una connection zozte zile ile mashirka binafsi, yasiyo ya kiserikali ama serikalini tujulishane
Iwe kwenye social welfare departments wewe tushtuane tu.
+255765743803 whatsup only haipo hewan kwa calls
+255628849189 calls only and sms
hamicomaryrajabu993@gmail.com email yangu hii.
Tushirikiane kutafuta kazi kwa kada yetu hiyo.
Development (planning, monitoring and evaluation), community projects fields.
Ukiachana na hayo kwa sasa connection ndio kitu muhimu nchini kilichosalia, hvy kama wapo ambao wamesomea field hizo related basi usisite kuungana na mm kwenye kuusaka mkate tu ili tuupate.
Nimemaliza chuo cha Ushirika Moshi (Moshi Co-operative University (MoCU).
Kama una connection zozte zile ile mashirka binafsi, yasiyo ya kiserikali ama serikalini tujulishane
Iwe kwenye social welfare departments wewe tushtuane tu.
+255765743803 whatsup only haipo hewan kwa calls
+255628849189 calls only and sms
hamicomaryrajabu993@gmail.com email yangu hii.
Tushirikiane kutafuta kazi kwa kada yetu hiyo.