King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,683
Sasa hivi wanayachakachua sana kwa kuyatia polymers, na kuyakamua tena...sasa matokea watumiaji wanastukia wanakufa macho taratibu!
Be careful!
Muuzaji tafadhali usije ukawa ajenti wa upofu kwa wanunuzi!
True dat!!