macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,804
- 39,621
Huo utapeli wako unaotaka kutumia umepitwa na wakati!!! Wachezaji wanatafutiwa kwenye internet au viwanjani? Kama huna uwezo wa kusafiri kwenda kuchagua... huo uwezo wa kuwalisha na kuwalaza utaupata wapi?