Natafuta Wachezaji Kuja Kucheza Europe

ndio mkuu na umesikika watanzania wamekusikia na wamekuelewa .

Mimi ninachoweza kusema ni kua Hakuna docomenti ya kiingereza,kiswahili ,kijerumani,kichina,kijapani ama lugha yoyote tofauti na polish inayowezwa sainiwa na mahakama nchini hapa.
wala hakuna mwanasheria hapa anaye process dokomenti za lugha za kimataifa yani kiingereza ,kifaransa na kispanish na zinginezo tofauti na polish.

Ukiona watu wanaoparamia lugha za watu ni sisi tu waafrika ndio utakuta tunatoka kifua mbele na lugha za watu kwa bahati mbaya sana hawa watu WEUPE wanapenda vyao.

Mkamap,

Naona hapo juu hauko sahihi. Kwasasa Poland iko EU, wana wajibu wa kutafsiri documents zote muhimu kwenye lugha mbalimbali za EU.

Ndio maana hata hizi nchi zingine kwasasa zinatafsiri documents mbalimbali kupeleka kwenye
lugha za wananchama wapya wa EU.

Kuna Wapolish wengi sana sasa wamepata kazi za maana kwenye eno hilo la lugha ili kutimiza masharti ya EU.

Kwa mawazo yako hata Bush akija Poland,basi makualiano wanasaini kwa kipolish?
 
Mkamap,

Naona hapo juu hauko sahihi. Kwasasa Poland iko EU, wana wajibu wa kutafsiri documents zote muhimu kwenye lugha mbalimbali za EU.

Ndio maana hata hizi nchi zingine kwasasa zinatafsiri documents mbalimbali kupeleka kwenye
lugha za wananchama wapya wa EU.

Kuna Wapolish wengi sana sasa wamepata kazi za maana kwenye eno hilo la lugha ili kutimiza masharti ya EU.

Kwa mawazo yako hata Bush akija Poland,basi makualiano wanasaini kwa kipolish?

Mtanzania
Sio mawazo yangu bali ni yao
Wao wanasheria na mahakama hazisaini doc ktk lugha nyingine ila mimi ninachojua ukija na doc zako za lugha nyingine watakwambia kazitafasiri kwa mtafsiri aliyesajiriwa ziwe ktk lugha ya kipolish ndipo hizo doc watazi process yawezekana kabisa kwa vile serikali inawakalimani akija Bush hua kuna kusaini version mbili ila hili sina uhakika nalo maana ni lakidplomasia zaidi.

Ninachokuhakikishia kua juzijuzi nimetoka kuonana na mwanasheria naye kataa kaniambia nitafasiri makaratasi yote na sio siku nyingi nimetoka uhamiaji nao mtindo ule ule.
 
mkamap acha usanii wenzako woote wakitaka vipaji wanakuja bongo wewe nataka wajilipie gharama na hawako sure kama watafaulu usaili.
 
Mkamap, Mkuu niytakuomba kitu kimoja namtafuta jamaa ndugu yangu Fidel Tungaraza najua yuko huko tafadhali mshitue tuwasiliane..
 
....watu mmepewa deal ila focus kubwa mliyonayo inaonekana ni kumchallenge jamaa,acheni story ndefu kama mna watu mnataka kuwasaidia toeni hizo nauli wakajaribu maisha na yakiwashinda kwa namna yeyote hawatakuwa wa kwanza au wa mwisho kushindwa lakini atleast wamejaribu
 
....watu mmepewa deal ila focus kubwa mliyonayo inaonekana ni kumchallenge jamaa,acheni story ndefu kama mna watu mnataka kuwasaidia toeni hizo nauli wakajaribu maisha na yakiwashinda kwa namna yeyote hawatakuwa wa kwanza au wa mwisho kushindwa lakini atleast wamejaribu

TEN OVER TEN 10/10
 
Mbona mnam-critisize badala ya kutoa information alizoomba
Jamaa kaomba contact za wachezaji nyie mnaanzisha mada nyingine

Mka Map
Kwa nini usiwasialiane na TFF?
 
Jamani kigumu ni kipi? naona wote walio na hoja hapa yaelekea si wachezaji. Kama kuna mtu anajua namba za wachezaji amu muvushie yeye atabaki akiulizana maswali na mchezaji mwenyewe. Mbona mnajibu vibaya?
 
Mkamap,usivunjwe moyo.Unachofanya ni kitu kizuri,lakini ntakupa tahadhari...TFF watakusumbua sana tu ukitaka msaada kutoka kwao.Nimeshaona jamaa wengi wakija hapa na kwenda moja kwa moja TFF,matokeo yake ni frustrations tu,kwa sababu TFF wao wanataka kitu hicho wafanye wenyewe,lakini hawana huo muda.Kuwasiliana na mameneja pia hakutakusaidia kitu,kwa sababu wao watafanya kwa nia ya kujinufaisha wenyewe kwanza.
Mimi ningekuomba uje Tanzania,mwezi huu kuna ile under 17 Coca Cola Cup.Tuliishuhudia mwaka jana,na kwa kweli kuna vipaji sio vya kawaida! Tulibaki midomo wazi kuwaangalia wale watoto,pia ukifananisha na timu yetu ya taifa inavyocheza,kweli kuna vipaji.
Kwenye hilo,ndugu yangu Mkamap hata mimi naweza kukusaidia,maana hao waandaji tunafahamiana
 
Mkamap,

Naona hapo juu hauko sahihi. Kwasasa Poland iko EU, wana wajibu wa kutafsiri documents zote muhimu kwenye lugha mbalimbali za EU.

Ndio maana hata hizi nchi zingine kwasasa zinatafsiri documents mbalimbali kupeleka kwenye
lugha za wananchama wapya wa EU.

Kuna Wapolish wengi sana sasa wamepata kazi za maana kwenye eno hilo la lugha ili kutimiza masharti ya EU.

Kwa mawazo yako hata Bush akija Poland,basi makualiano wanasaini kwa kipolish?


WATANZANIA tuna tatizo kidogo. Hapa muungwana Mkamap katoa deal kwa wenye interests. sasa wewe kama unaona jamaa anadanganya au anataka kuwaingiza mkenge watu..si uachane naye? kwa nini tuko tayari kutoa lawama bila solution? whats wrong with US Tanzanians? we are always searching for faults!

Kuhusu lugha, Mkamap is just on the spot. wanaotumia lugha za kigeni ni sisi waafrika (perhaps kwa sababu ya umaskini wetu)! wenzetu wanathamini lugha zao..nenda China, Japan, France nk..ALMOST kila kitu kinatafsiriwa kwenye lugha zao...Yes, HATA BUSH ANGEENDA POLAND KUSAIN MKATABA, WANGESAIN KWENYE LUGHA ZOTE MBILI OF WHICH MIKATABA YOTE MIWILI INGEKUWA AUTHENTIC! Jamani tuache siasa..kila mtu ana namna anavyohangaika na maisha, kuna ubaya gani vijana wakiwin na Mkamap akapata % yake? kwani nani anafanya kazi ya kanisa? lets be real wandugu....

Harafu swala la EU hapa haliji, kila mwanachama ana lugha yake..kutafsiri documents ni kwa ajiri ya bureacrats wa EU pale Brussels, otherwise lugha ZOTE za EU zina status sawa!
Kwa hiyo sioni kwanini watu tuwe na stori ndeeefu..kama una jamaa anataka mwambie amcontact jamaa ampe procedures, asipokubaliana nazo..ataacha, kwani kalazimishwa?

Harafu jamaa angefanya otherwise, akastua wakenya au wengine, angekuwa nailed kama mbinafsi asiye na uzalendo..wabongo bwana....we are masters of deception and hypocricy...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom