Huko sifiti.Hatuhitaji vikubwa, hatufanyi vikubwa... Hivyo unafit
Huko sifiti.Hatuhitaji vikubwa, hatufanyi vikubwa... Hivyo unafit
Elimu zote zinatoka kwa Mola hili liko wazi.Uchawi uliaza tangu kuumbwa ulimwengu kiimani... Na asili yake ni Mola mwenyewe
Niuzie mimi hicho kiwanja mkuu.Ndugu wana JF huu si utani..! Niko serious..
Najiona kabisa nazeeka sasa na nguvu zinanipungua, hivyo nimekuwa na limited movements japo mahitaji bado yako juu
Nimeamua kutangaza kufafuta mrithi wa kazi zangu.
Hii mikoba yote iko Mkoa wa Pwani kilingeni Msata
- Mkoba mkuu mmoja
- Mkoba wa kati
- Mkoba mdogo
Kilinge kila kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga.. Kina vifaa vyote muhimu vya kale na vya kisasa kwa shughuli zote hizo..!
Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.
Niliwahi kuwagusia kuhusu hiki kituo kitakachojulikana kama MULT FAITH RESEARCH SOCIETY. Naona muda wa kuwa umekaribia kabisa!
Nitakuja kutoa aina ya mrithi nimtakaye!
Asanteni.
Alianza Adamu,nimekuuliza hivyo sababu Historia imeshaandikwa.Kati ya Nuhu na Adam nani alitangulia? Uchawi uliwatangulia wote hapa ulimwenguni
Yeah kila kitu ukiwepo uchawi viliumbwa zile siku tano za kwanza za uumbajiAlianza Adamu,nimekuuliza hivyo sababu Historia imeshaandikwa.
Ulimwenguni Uchawi ulikuwepo lini kwa mara ya kwanza ? Unao ushahidi unao onyesha ya kuwa Uchawi uliwatangulia wawili hao ?
Kilinge itakuwa mtihani mkuu hakibebekiDah kaka halafu kilinge nipeleke wapi? Si ungechukua tu vyote kwa bei ya jumla? Takupa discount kubwa
Sasa turudi hapa ulimwenguni,Uchawi ulikuja na nani ?Yeah kila kitu ukiwepo uchawi viliumbwa zile siku tano za kwanza za uumbaji
Naomba ushahidi wa hili.Uzao wa Adam
Kwamba unaona hii ni fursa......Ukiwa umekata tamaa ya maisha halafu ukutane na hii post unaweza kutamani uanze kazi leoleo
Maisha yana mengi sana mkuu. Kama haujapitia mitihani, mshukuru Mungu.Kwamba unaona hii ni fursa......