Huo ukoje kaka ? Nawaza hapa,tujaribu kujadili maana ya Uchawi kwanza ili tupime unachokiandika ni kweli au la..?!Ambao haudhuru wengine
Haina tatizo. Ila vipi kama hizo dini za kuletewa ndiyo zina ukweli zaidi,vipi tuuache ukweli kisa ni dini za kuletewa au akili inakuelekeza vipi ? (Hili lifanye kama akiba).Ok lakini nataka tuwe na tafsiri moja huru kwa wote bila kuegama viasili vya kiimani na dini za kuletewa zilizokuwa na malengo yake
Labda nitumie neno la kilugha cha kigeni... Kuna kitu kinaitwa fantasy witchcraft.. Si kwa ajili ya kudhuru wengine bali kujifunza na kushibisha ubongo maarifaHuo ukoje kaka ? Nawaza hapa,tujaribu kujadili maana ya Uchawi kwanza ili tupime unachokiandika ni kweli au la..?!
Sababu ni na vitabu kadhaa vinavyoelezea Uchawi,na hili naona ni jipya kwangu.
Safi kabisa,sababu katika maneno ya kimtaani huwa tunasikia kuna "Mchawi wa soka" na mfano wake,haya maneno huwa hayagusi hakika ya neno ila kwa maana tu ya juu.Labda nitumie neno la kilugha cha kigeni... Kuna kitu kinaitwa fantasy witchcraft.. Si kwa ajili ya kudhuru wengine bali kujifunza na kushibisha ubongo maarifa
Hapauzwi hapo labda upewe kiwanja na madogoli yake bure kazi yako iwe kutafutatu wateja mtandaoni. Tena kaka Mshana atakuachia mtaji wa watejaNiuzie mimi hicho kiwanja mkuu.
Kidogo sasa tunaelekea kumojaSafi kabisa,sababu katika maneno ya kimtaani huwa tunasikia kuna "Mchawi wa soka" na mfano wake,haya maneno huwa hayagusi hakika ya neno ila kwa maana tu ya juu.
Sasa uchawi ni nini hasa.
Hapa umenikumbusha jambo moja,kuna mwanachuoni mmoja alipata kusema hivi "Nilijifunza shari ili niijue niweze kuiepuka na si kwa ajili ya kuifanya". Ila si kila kitu unatakiwa kujifunza.
Sijui kama tuko pamoja hapa...
Uchawi ni nini hasa ?Kidogo sasa tunaelekea kumoja
Kamfungulie ofisi ndogo Dodoma huyo utakayempata maana hata soko la mayai viza nilakuridhisha.nitampa database yote

Ni uamuzi tu mkuu bado kuna wahitaji ... Na tayari nimeshapata warithi kama watano hivi PM , japp wawili ndio wako seriousMkuu Kwa nn usivichome Moto hivyo vitunguli km umeamua kuondoka huko,badala yake unataka umkabidhi mtu.Au hauna uhakika na uendako so unapika upepo kwamba mambo yakienda ndivyo sivyo uurudie ubaridi..
Iko kwenye foleni mkuu don't worryDah....Profesa Nimetuma CV yangu PM...naangalia mbele kutegemea kusikia kutoka kwako
Sent using Jamii Forums mobile app

Faida yake nn.Ni uamuzi tu mkuu bado kuna wahitaji ... Na tayari nimeshapata warithi kama watano hivi PM , japp wawili ndio wako serious