Mrudishie mwenyeweOk lakini nami nilivipewa... Ni ngumu kuteketeza kisicho chako kiasili
Ingekuwa vinanisaidia kuishi milele kutokufa ningewirithi nje ya hapo ni kuukimbiza upepo.Life is too short.Ladha halisi ya kitu utaijua utakapokionja..nje ya hapo zitakuwa tu simulizi za kufafanisha vitu
Ufafanuzi tafadhali.Uchawi ni nguvu hasi ya kiroho
😄😄Kila la heri kakaNi uamuzi tu mkuu bado kuna wahitaji ... Na tayari nimeshapata warithi kama watano hivi PM , japp wawili ndio wako serious
Mpaka kuja hapa na hii post nimeshafanya maandalizi ya kutosha kwenye kingaVipi hiyo mizimu, mapepo na majini uliyokuwa unayatumikia hayawezi kukuwahi???
Maana unataka kuyasariti.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hapana haikinzani bali sasa hizo ni aina za uchawi... Kumbuka hata kama ni nguvu hasi kiroho lakini bado haimzuii mtu kujifunza na kuelimikaUfafanuzi tafadhali.
Maana yake ile kauli yako uliyosema ya kuwa kuna Uchawi wenye manufaa,inakinzana na maana yako hii ya Uchawi.
Ok kila la kheri. Ila kutafuta mtu wa kumuweka upotevuni hata huyo Mungu unayeenda kumtumikia hawezi kupenda.Mpaka kuja hapa na hii post nimeshafanya maandalizi ya kutosha kwenye kinga
Ngoja nitafakari hili, naona linarudiwa rudiwa sanaOk kila la kheri. Ila kutafuta mtu wa kumuweka upotevuni hata huyo Mungu unayeenda kumtumikia hawezi kupenda.
Nakushauri vichome Moto tu.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app

Kuna baadhi ya maswali sitaweza kujibu ila kwa kusaidia tu nimesaidia wengi sana... Kuhusu kukomoa niwe mkweli kuna watu nimewafanyia undava baada ya kutaka kunipanda kichwani na kujiona wao ni zaidiNa naomba nikuulize swali.
Kwamba kabla hujatundika dilunga vipi ulisharoga watu wangapi, ulishakomoa na kusaidia watu wangapi?
Kubwa kuliko yote Ni faida gani ulikuwa unazipata kwa kujishughukisha na hizi Mambo bila kusahau ugumu wake na changamoto Kama zipo.
ASANTE.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Asante.Kuna baadhi ya maswali sitaweza kujibu ila kwa kusaidia tu nimesaidia wengi sana... Kuhusu kukomoa niwe mkweli kuna watu nimewafanyia undava baada ya kutaka kunipanda kichwani na kujiona wao ni zaidi
Daima watu wabaya hufanyiwa mambo mabaya... Sijawahi kumdhuru asiye na hatia na huo ndio ukweli wangu
Tupe masharti kwanza ndio tuchagueNdugu wana JF huu si utani..! Niko serious..
Najiona kabisa nazeeka sasa na nguvu zinanipungua, hivyo nimekuwa na limited movements japo mahitaji bado yako juu
Nimeamua kutangaza kufafuta mrithi wa kazi zangu.
Hii mikoba yote iko Mkoa wa Pwani kilingeni Msata
- Mkoba mkuu mmoja
- Mkoba wa kati
- Mkoba mdogo
Kilinge kila kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga.. Kina vifaa vyote muhimu vya kale na vya kisasa kwa shughuli zote hizo..!
Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.
Niliwahi kuwagusia kuhusu hiki kituo kitakachojulikana kama MULT FAITH RESEARCH SOCIETY. Naona muda wa kuwa umekaribia kabisa!
Nitakuja kutoa aina ya mrithi nimtakaye!
Asanteni.
Dah...shukran ProfesaIko kwenye foleni mkuu don't worry![]()
. ..bado naangalia mbele kukusikia