Mwanajingili
Member
- Oct 15, 2018
- 60
- 31
Mi natafuta lile tangazo la vodacom kuongea kwa sekunde ' abiria anamwambia kondacta wake atalipa sh 75 badala ya 150 kutoka posta hadi moroco. Analipia kwa sekunde!
Mi natafuta lile tangazo la vodacom kuongea kwa sekunde ' abiria anamwambia kondacta wake atalipa sh 75 badala ya 150 kutoka posta hadi moroco. Analipia kwa sekunde!
me natafuta lile la Coca au pepsi kombe la dunia 2006 au 2010 lipo kikatuni flan hivi kuna manzi aliingiza mchepuko sasa mme wake akaja ikabidi demu amfiche mchepuko kwenye kabati wakat huo huo mechi inaendelea kweny screen sebuleni goal likafungwa wakawa wanashangilia hadi ule mchepuko ukashindwa kuvumilia ukatoka kabatini ukaungana kishangilia
Ilikuwa kombe la Dunia 2006me natafuta lile la Coca au pepsi kombe la dunia 2006 au 2010 lipo kikatuni flan hivi kuna manzi aliingiza mchepuko sasa mme wake akaja ikabidi demu amfiche mchepuko kwenye kabati wakat huo huo mechi inaendelea kweny screen sebuleni goal likafungwa wakawa wanashangilia hadi ule mchepuko ukashindwa kuvumilia ukatoka kabatini ukaungana kishangilia
Hata mie nalitafuta hili tangazo, lilitoka miaka ya 2004-2005, mziki wa kweny background n mzuri kweli..kuna jingine la hivyo hivyo na wimbo huo huo kwny background, lkn linaonyesha mwanamke na mwanaume, mwanaume anapanda juu ya meza kufunua sehemu ya celling board anatoa kimkoba cha mkononi anakiweka mezani halaf ndani yake kuna salama condom, kimziki cha background kinapigwa na kumalizia maneno haya "kama unampenda utamlinda".. sio siri tangazo hili lilinivutia sana hasa mziki kwny background sijui uliimbwa na naniMie natafuta lile la salama condoms kama unampenda utamlinda.
Mdada alikua ametoka kazini, mvua ilikua ikinyesha, alikua akiwaza ni jinsi gani atarudi home, akatokea jamaa yake gentleman hivii akamfunika na mwamvuli.
Kamziki kana play on the back ground, then inaskika sauti
"Kama unampenda utamlinda"
MlugalugaNalipenda kinomaa...ukilipata plse share.
Dah we jamaa umenikumbusha enzi hizo niko primary na baridi lile la Himaya ya Mkwavinyika hapo ni kipindi cha Majira RTDMimi natafuta Tangazo la zamani la Vipi lambo ? .....Pancha bwana ......Pancha wakati kuna OKO . DAH lile Tangazo lilitisha miaka ya 90
Mkuu aliamini lile domo la Chai jaba ni live?Umenikumbusha mbali sana, siku moja shangazi yangu alikuwa amekuja toka kijijini akaliona hilo tangazo pamoja na lile la cowbell, kwakuwa lilikuwa linachekesha nasi tukacheka, lakini yeye alisikitika sana, akatuonya tuache kabisa tabia ya kucheka walemavu, akasema hao hawakujipendea kuwa hivyo, hiyo ni kazi ya Mungu haina makosa.
Hata mimi natafuta lile tangazo la mafuta ya jambo,lile walikua wanaimba "mimi naitwa jambo katikati,na wewe je?,mimi naitwa jambo ndogondogo,na wewe je?...." hahahaa nmelimiss mno
Na kwny tangazo la maziwa ya COWBELL kulikuwa na katuni matataWapendwa mwenye hiyo video clip anisaidie kuitupia hapa JF kwenye huu uzi.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app