nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
Haaa haaa kuna tangazo la jambo dogo, kichupa cha mafuta kinasema "mimi naitwa jambo dogoo"
Hiyo hapo mkuu.Haaa haaa kuna tangazo la jambo dogo, kichupa cha mafuta kinasema "mimi naitwa jambo dogoo"
Lile hata mimi nilikua nalipendami natafuta lile la airtel ambalo yupo vanessa
me natafuta lile la Coca au pepsi kombe la dunia 2006 au 2010 lipo kikatuni flan hivi kuna manzi aliingiza mchepuko sasa mme wake akaja ikabidi demu amfiche mchepuko kwenye kabati wakat huo huo mechi inaendelea kweny screen sebuleni goal likafungwa wakawa wanashangilia hadi ule mchepuko ukashindwa kuvumilia ukatoka kabatini ukaungana kishangilia
daa wewe ndio umenipa bonge ya flash back,Natafuta Tangazo la Bia Tusker mwishoni mwa miaka ya 90 "ni tuske ni tusker.....baada ya kazi burudika na tuskerrrrr"
Lingine lile la safari lager 'safari ni safari... Safari moja huanzisha nyingine" mbaya zaidi Mama alinambia wanywaji wa pombe nyumba zao ndio hiyo ilochorwa kwenye bia ya safari yaani kanyumba ka nyasi hivyo nisinywe pombe katu
Nalipenda kinomaa...ukilipata plse share.Mi natafuta lile tangazo la vodacom kuongea kwa sekunde ' abiria anamwambia kondacta wake atalipa sh 75 badala ya 150 kutoka posta hadi moroco. Analipia kwa sekunde!
Kumbe hii tabia yako ya kupenda vikesi ili ulipwe umeianza toka zamani, shwaini wewe!!daa wewe ndio umenipa bonge ya flash back,
'safari ni safari ni safari, iwe kwa mguu ama kwa basi/gari safari ni safari'
sijui ni elf 2 na ngap ile, hapo bi mkubwa anaanda msosi, sina ninachojua zaid ya kucheza na kula,
nakumbuka hio siku et nimemng'ang'ania bimkubwa nampeleka polisi(kile kituo pale external tulikua tunaish oposite) kisa kapasua puto langu,
Daa
better days when i was soo inocent,
asaiv nimekua juhaa....
haya maisha pumbavu kbsa....
nimalize kilichonileta nisepe tu.
Basi nami nataka lile la Fataki, mzee wa ATM.... pale pale pa jana.
Basi nami nataka lile la Fataki, mzee wa ATM.... pale pale pa jana.
Alaaaa! mzee mbn umenikosea heshima from nowhere?Kumbe hii tabia yako ya kupenda vikesi ili ulipwe umeianza toka zamani, shwaini wewe!!
Safari ni safari....... lilikuwa linapigwa saa 2,Natafuta Tangazo la Bia Tusker mwishoni mwa miaka ya 90 "ni tuske ni tusker.....baada ya kazi burudika na tuskerrrrr"
Lingine lile la safari lager 'safari ni safari... Safari moja huanzisha nyingine" mbaya zaidi Mama alinambia wanywaji wa pombe nyumba zao ndio hiyo ilochorwa kwenye bia ya safari yaani kanyumba ka nyasi hivyo nisinywe pombe katu
Hapa namsubiria Miss Natafuta na yeye aje atafute, maana hapa ni mwendo wa kutafuta tu.Sa mbona kila mtu anatafuta? Amekosekana wa kumsaidia mwenzie
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee