rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Hao wa mtaani si ndio wako huku pia...
Sasa kawakosa huko au anapenda kutafuniwa tu ye ameze.....mabandiko yote yaliyopo
Hao wa mtaani si ndio wako huku pia...
Sasa kawakosa huko au anapenda kutafuniwa tu ye ameze.....mabandiko yote yaliyopo
Ni kama mtu anaetafuta simu au tv hapa Jf... sio kwamba hajaziona madukani.
Halafu huku ndio vizuri zaidi maana utapewa na advise kidogo.. ambao utakusaidia katika ununuzi wako
ZUUTH nashukuru ndg yangu ila ninajua nilichokifanya mtu mwenye dhamira ya kutaka mambo hayo hawezi kujitangaza kihivi coz ni mambo ya siri sana. Sasa huyu alitaka kutuwasha gari ndo na mimi nikamtokea kwa style hiyo ila tupo pamoja usjali.
YESU KRISTO ndiye MUNGU wetu sasa unataka watoto wake tumuombe nani kama sio kwa BABA yetu mambo yote tunayapata kwa BABA kwani yeye ndiye aliyetuumba akatuweka hapa duniani na atatuchukua hivyo HE is responsibleHaswaa ! wenzako wanaombewa utajiri Kanisani kwa jina la Yesu. Ukitaka magari, kusafisha nyota, kupanda cheo, kupendwa (ngekewa) kuepuka madeni, kupandishwa mshahara, kufaulu mitihani, biashara kuchanganya, basi taja jina la Yesu. Usisahau bahasha ya sadaka
Yaani kumtaja YESU wetu ndio imekua shida mpaka mnarauka hivi Hahaha! Kweli JINA la YESU ni moto kila litajwapo mapepo yanakuwa uncomfortable yanachomeka ndio mana mmekosa amani kabisa mliposikia JINA YESU.Nimemkuta Mgalatia mmoja anaombewa kwa Staili mpya hapa.
enyi wagalitia msio na akili ni nani aliyewaroga?Yaani kumtaja YESU wetu ndio imekua shida mpaka mnarauka hivi Hahaha! Kweli JINA la YESU ni moto kila litajwapo mapepo yanakuwa uncomfortable yanachomeka ndio mana mmekosa amani kabisa mliposikia JINA YESU.
Ukiwa na zana za kisasa na ukavua kwa utaalamu bila kutumia baruti sababu ukitumia baruti utaua viumbe wengine ambao hutawatumia. Na nyavu khasa ukiwa na nyavu nzuri aah ndg mwaka mmoja utakuwa mbali watu wengi wamepata utajiri ziwani na baharini so utajiri wa majini ukiwa makini na zana murua unaupata
Kuwa baharia.
Yule wa Zambia? unaenda na mkeo wew mwanaume unaoza funza wanakutoka mwili mzima mkeo ndiyo anakuwa na kazi ya kuwazombea hao funza kwenye mfuko na endapo mkeo atalia na wew unafariki! hyo ni ngumu
Anaitwa mwanandulame kuna aina mbili za utajili kuna wa punje za mahindi unamtupia kuku akila ndo miaka utakayoishi pili kuna hii ya funza mnashauriana either mkeo aoze umtoe funza au wewe ndio uoze wale funza utakao tolewa kwa siku mbili ndio kiasi cha pesa utakachokua nacho so jaza mabeseni ya funza mkuuNenda tunduma. Ulizia wanakotupa punje. Au uluzia mganga wa funza.
waone hawa...
1) gwaji
2) katotoizi
3) mwingi
4) rwaka
5) mzee wa upak
kweli wanasonga mbele, ila njia wanazotumia ndio za majini haiwezekani karne hii uanze kusema unafufua watundg yng utabakia kunyooshea vidole watumishi wa Mungu mpk lini?? wenzio wanasonga mbele ww utabakiaga hapohapo na hivyohivyo ulivyo.
kweli wanasonga mbele, ila njia wanazotumia ndio za majini haiwezekani karne hii uanze kusema unafufua watu
mimi ni muislam siamini hayo majini kwangu ni mungu pekee ndio ana msaada kwangu, hivi wewe umefiwa nandugu zako wangapi ambao unawapenda? mbona huendi kwa gwajima akakufufulie? watu wanauwa kwa sababu za kigaidi ndugu zao wanabaki wanalia kwanini hii mitume na manabii wasasa hawaendi kuwafufua hao na kuwafuta machozi ndugu zao? wajinga ndio waliwaosasa hapo cha ajabu nn?? kwani Yesu sialisema fufueni wafu, takaseni wenye ukoma mmepewa bure toeni bure!!! au mwenzetu neno limekupitia pembeni??
kama unaona ni rahisi kivile, na wewe fufua majini yameejaa tele kwa mtt wa aliekuwa mnajimu wa nyota..
yesu kristo ndiye mungu wetu sasa unataka watoto wake tumuombe nani kama sio kwa baba yetu mambo yote tunayapata kwa baba kwani yeye ndiye aliyetuumba akatuweka hapa duniani na atatuchukua hivyo he is responsible
for our wants and all welfares shortly is our provider na kutoa sadaka mahali sahihi ndio tabia aliyotufunza baba yetu.
Kwani wanaoenda kwa waganga hawatoi sadaka ya damu kama kuku mbuzi cow mpaka binadamu lakini baba yetu alijitoa sadaka ya damu pale msalabani hivyo ndio mana akamdirect kwa yesu kristo kwani alishalipa yote its just the matter of asking and follow his commandments.