habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Wengi wanampotezea mleta mada kana kwanba Haya mambo ya ajabu sana na hawajawahi wataki ndo washirikina wakubwa, wanatembea na Pete za majini vidoleni na hiriz viunoni
yule wa zambia? Unaenda na mkeo wew mwanaume unaoza funza wanakutoka mwili mzima mkeo ndiyo anakuwa na kazi ya kuwazombea hao funza kwenye mfuko na endapo mkeo atalia na wew unafariki! Hyo ni ngumu