Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
Angalia tu usije ukatoa na mini kabang. #PiganaDogo .
Nani anajua mahali nitapata utajiri wa majini nimechoka na maisha mimi .. Niko serious !
Huyu Qafir lazima atapike.Haswaa ! wenzako wanaombewa utajiri Kanisani kwa jina la Yesu. Ukitaka magari, kusafisha nyota, kupanda cheo, kupendwa (ngekewa) kuepuka madeni, kupandishwa mshahara, kufaulu mitihani, biashara kuchanganya, basi taja jina la Yesu. Usisahau bahasha ya sadaka
Ukiwa na zana za kisasa na ukavua kwa utaalamu bila kutumia baruti sababu ukitumia baruti utaua viumbe wengine ambao hutawatumia. Na nyavu khasa ukiwa na nyavu nzuri aah ndg mwaka mmoja utakuwa mbali watu wengi wamepata utajiri ziwani na baharini so utajiri wa majini ukiwa makini na zana murua unaupata
Yule wa Zambia? unaenda na mkeo wew mwanaume unaoza funza wanakutoka mwili mzima mkeo ndiyo anakuwa na kazi ya kuwazombea hao funza kwenye mfuko na endapo mkeo atalia na wew unafariki! hyo ni ngumu
Haswaa ! wenzako wanaombewa utajiri Kanisani kwa jina la Yesu. Ukitaka magari, kusafisha nyota, kupanda cheo, kupendwa (ngekewa) kuepuka madeni, kupandishwa mshahara, kufaulu mitihani, biashara kuchanganya, basi taja jina la Yesu. Usisahau bahasha ya sadaka
Kuwa baharia.
Sasa aliyekwambia upo hapa jukwaani nani??? waganga wote waliopo mitaani hujawaona hadi uje ujianike hapa ndugu?? mtafute shekhe yahaya pale magomeni mikumi mambo yote atakuhelp Thugga