Natafuta Utajiri wa Majini

Natafuta Utajiri wa Majini

Thugga

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
11
Reaction score
2
Nani anajua mahali nitapata utajiri wa majini nimechoka na maisha mimi .. Niko serious !
 
kunywa sum ufe tu kama umechoka sana ndgu wai plot mbnguni,,achana na hzo habari za majini yatakutesa t sana af uanze kujuta.
 
Sasa aliyekwambia upo hapa jukwaani nani??? waganga wote waliopo mitaani hujawaona hadi uje ujianike hapa ndugu?? mtafute shekhe yahaya pale magomeni mikumi mambo yote atakuhelp Thugga
 
Last edited by a moderator:
Nenda tunduma. Ulizia wanakotupa punje. Au uluzia mganga wa funza.
 
Nimesahau sumbawanga ulizia kwa chombo kutotomiya.
 
watu mnajifanya kuponda wakati nyie ndio mnalala vilingeni!! hivyo ndivyo mlivyo mpk kwenye familia zenu??

thugga kuna mganga mmoja tu mkweli, jina lake anaitwa Yesu wa Nazareti!!

pole kaka
 
Zamani walikua watu wanasema wadada tuu ndio wanao kwenda kwa babu lakini sikuizi wa kaka ndio wanachukua number za kwanza mpaka 50 kuanzia 51 ndio wa dada...
 
watu mnajifanya kuponda wakati nyie ndio mnalala vilingeni!! hivyo ndivyo mlivyo mpk kwenye familia zenu??

thugga kuna mganga mmoja tu mkweli, jina lake anaitwa Yesu wa Nazareti!!

pole kaka

Nimependa hiyo
 
Kwa kuanzia muuwe mama au baba yako, baada ya hapo rudi upate maelekezo zaidi
 
images
 
Ukiwa na zana za kisasa na ukavua kwa utaalamu bila kutumia baruti sababu ukitumia baruti utaua viumbe wengine ambao hutawatumia. Na nyavu khasa ukiwa na nyavu nzuri aah ndg mwaka mmoja utakuwa mbali watu wengi wamepata utajiri ziwani na baharini so utajiri wa majini ukiwa makini na zana murua unaupata
 
watu mnajifanya kuponda wakati nyie ndio mnalala vilingeni!! hivyo ndivyo mlivyo mpk kwenye familia zenu??

thugga kuna mganga mmoja tu mkweli, jina lake anaitwa Yesu wa Nazareti!!

pole kaka

Haswaa ! wenzako wanaombewa utajiri Kanisani kwa jina la Yesu. Ukitaka magari, kusafisha nyota, kupanda cheo, kupendwa (ngekewa) kuepuka madeni, kupandishwa mshahara, kufaulu mitihani, biashara kuchanganya, basi taja jina la Yesu. Usisahau bahasha ya sadaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom