B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 569
- 781
Kichwa cha habari kinahusika, nimehamia Dar rasmi mwaka huu.
Kuna sehem nimefikia kwa muda ila mwishoni mwa mwezi huu (January) nitahamia tabata barakuda, nina mpango wakurudia mtihani wa kidato cha4 mwaka huu.
Hivyo naomba wadau mnasaidie kunijuza kituo cha kusomea kwa maeneo ya tabata barakuda au jirani na hapo, kutokana na ratiba na nature ya kazi yangu itakuwa rahisi kama nitapata kituo cha kusomea jirani na home.
Natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehem nimefikia kwa muda ila mwishoni mwa mwezi huu (January) nitahamia tabata barakuda, nina mpango wakurudia mtihani wa kidato cha4 mwaka huu.
Hivyo naomba wadau mnasaidie kunijuza kituo cha kusomea kwa maeneo ya tabata barakuda au jirani na hapo, kutokana na ratiba na nature ya kazi yangu itakuwa rahisi kama nitapata kituo cha kusomea jirani na home.
Natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app