Natafuta mkazi wa Tabata anayeweza kufundisha Arts nishirikiane naye kuendesha Tuition Centre

swahili state

JF-Expert Member
Oct 14, 2014
261
146
Habari wakuu, natafuta mtu anayeweza kufundisha masomo ya Arts ili tuweze kufungua Tuition Centre. Mtu huyo awe anakaa Tabata, pia awe jobless. Nimeshafanikisha mpango huo wa kituo kwa 70% hivyo basi yeye atamalizia zilizobaki.

Aliyetayari ani PM.
 
Back
Top Bottom