Natafuta tiba ya Depression

Pole sana , lakini ukiugundua ugonjwa huu ni chanzo cha tiba.
Usipoufahamu familia nzima inaweza kuteseka kwa tabia za mgonjwa.
Mke wangu almanusura tuachane kutokana na vitimbi alivyokuwa akionyesha.
Ni bahati tu tulishauriwa kumwona daktari psychiatrist, pamoja na mke wangu kukataa katakata lakini baadaye alikubali.
Baada ya matibabu ali improve sana.
Depression ni aina ya ugonjwa wa akili, ambao daktari alinijuza kuwa ni watu wengi tu wanaugua, ila hawajijui.
Dawa alizopewa mke wangu ni Oleanz, dosage ambayo anakupa daktari, pamoja na vidonge vya Benzhexol.
Dawa hizi zina side effects hivyo ni muhimu kuonana na daktari

Ni ugonjwa unaotesa sana.
 
Kaka hivyo vidonge hataweza kumtibu hayo maradhi yake ya Depression hivyo vidonge vitamtuliza sio kumponyesha kabisa kuna dawa za asili za kuweza kumponyesha hayo maradhi ya Depression sio dawa za hospitali haziwezi kumponyesha hayo maradhi ya Depression mimi ninakataa .
 

Hizo dawa za asili zinaitwaje mkuu? na ntazipata wapi?
 


Asante mkuu navyofahamu mimi tatizo langu ni kwamba dopamine ni kubwa kuliko serotonin thus why akili inakua inaenda mbio, so i need to boost serotonin so i need serotonin boosters, nkitumia SSRI (Serotonin selective reuptake inhibitors) hua napata nafuu sana, ila nkiacha kutumia kwa miezi kadhaa hali inarudi
 
I have been depressed and its something i would never wish on anyone.i couldn't sleep, i couldn't pray, i had suicidal thoughts ni balaa. Nilikua nachukia mornings coz of the length of hours that i have to deal with people. Ikifika usiku nayo ndo kero zaidi maana i couldn't sleep naweza ingia kitandani sa mbili ila mpaka sa tisa nipo macho. For me nilitumia anti depressants za kawaida na sleeeping pills kunisaidia kulala. Ila ki ukweli nahisi ni Mungu tuu kanisaidia kutoka huko nilipo kua.
As for you mkuu Cataliyya ungejaribu kuonana na wataalam (psychiatrist) wangekusaidia zaidi
 
pole sana kimberlite .vip saiv hali imetulia !?
 
uwe unajitahidi kuwa sehemu za watu wengi..

pengine kuwa mwenyewe muda mrefu (ideal) unajikuta mpweke na mawazo ya kutosha
 
Medical marijuana,hyo ndio mama wa dawa zote za dipression duniani.Tafuta highgrade kush,tupia msumari moja tu kwa siku,jioni baada ya kumaliza shuhuli zako,utajionea maajabu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante kwa ushauri wako, kwani hii marijuana haikufanyi kua dependant? na inapatikana wapi?
 

marijuana/ medical marijuana inapatikana wapi? na sio dependant?
 
Nenda hospitali kaonane na madaktari utapewa dawa but usisahau kufanya mazoezi na kunywa maji mengi...epuka mazingira yanayokupa stress
 

Pole sana mkuu, je unaweza kukumbuka aina ya antidepressants ulizotumia?
 
Pole sana na ubarikiwe sana kwa uvumilivu wako walahi
 
Pole sana mkuu, je unaweza kukumbuka aina ya antidepressants ulizotumia?
Mkuu mi nilitumia Amitriptyline. I was warned though kwamba ni addictive na naweza pata withdrawal symptoms wakati wa kuacha. Ila I'm glad earlier this year nimeacha kabisa kutumia both the anti depressants na sleeping pills without any effect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…