Natafuta Tenda ya unga wa sembe

Natafuta Tenda ya unga wa sembe

Joined
Jun 22, 2014
Posts
42
Reaction score
7
Nauza pia natafuta tenda ya ku supply unga wa sembe kwa mashule au mashirika mbali mbali kwa jumla na reja reja,,unga ni safi kabisa tumesaga kwa mashine za kisasa kabisa.npo songea karibu na uwanja wa majimaji,,bei shilng 700 Kilo nyote mnakaribishwa

unaweza kunipm au nicheki thru 0752750598
 
Last edited by a moderator:
Ulipotaja SEMBE nikajua ni ule utajiri wa haraka.
 
hata mi nilikuja fasta nikidhani sembe ile inayowatoa watu kimaisha haraka haraka.
 
Nauza pia natafuta tenda ya ku supply unga wa sembe kwa mashule au mashirika mbali mbali kwa jumla na reja reja,,unga ni safi kabisa tumesaga kwa mashine za kisasa kabisa.npo songea karibu na uwanja wa majimaji,,bei shilng 700 Kilo nyote mnakaribishwa

unaweza kunipm au nicheki thru 0752750598
Nahitaji mkuu ila kwa bei hiyo hiyo ukijumlisha na usafiri, Nipo morogoro mjini. Kama utaweza niambie nikupe mawasiliano.
 
kumbe bei rahisi huku nanunua 1000 kg. nahitaji nipo "musoma mara tuwasiliane uniletee.
 
Back
Top Bottom