_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,408
- 7,403
Asalaam wanajukwaa
••••●●●☆☆☆☆☆••○••●●●●☆☆•••••
Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo,
Nimekuwa na ideas za biashara mbali mbali na nimezichambua kwa mda sasa hatimaye nimejikita katika hizi biashara tatu
1.Biashara ya kuuza unga wa sembe,mahindi na maharage
2.Biashara ya kuuza madawa ya binadamu(Pharmacy)
3.Partnership
☆Mtaji uliopo ni 3M
☆Nipo Dar
1.Hii biashara ya kuuza unga niliplan kuifanyia maeneo yenye mzunguko wa watu wengi yaan towncentre ili kuwa na uhakka na soko.
(Unga nimeplan kuusafirisha kutoka mbeya/songea kulingana na unafuu wa bei).
lakn sasa nimefanya uchunguzi kwa maeneo ya kariakoo,,nikawa narudi taratbu kuja maeneo ya magomen,shekilango, ubungo nimeshangaa kukuta frem nyingi zimefungwa yaan watu wamefunga biashara mpaka sio poa
●》Swali langu
A.》 JE TATZO LAWEZA KUWA NI NN??? YAAN N KWA NN WAFANYABIASHARA WANAFUNGA SANA BIASHARA,, nahtaji kujua changamoto ili nisije ingia kichwa kichwa nikapoteza mtaji
B.》Kama kuna mtu anafanya hii biashara ya kuuza unga wa sembe naomba anijulishe je anashindanaje na watu wenye mtaji mrefu kama akina MO ambao tayari wanafanya hii bussiness na tayar wapo vichwani mwa wateja? (yaan wamekaririka)
C.》Kuna vibali vingine vya biashara vinahtajika tofauti na TRA?
D.》Je huo mtaji unatosha kuanza hii biashara?? yaan kulipia frem,TRA,Kununua mzigo na kusafirisha mzigo
2.Biashara ya pharmacy÷ baada ya kuchunguza kwa mda nikagundua kwamba wapo walokuwa wakifanya hii biashara nao wamefunga biashara japo wao sio wengi sana lakn:
☆Hapa kwny pharmacy inabidi niajiri mfamasia sasa naona kama mlolongo utakua mrefu (Lakin nakaribisha ushauri wenu)
3.Partnership÷ pia nilikuwa na wazo la kuungana na mtu ambaye tayari anafanya biashara (any standing bussiness) alafu mm nkawekeza mtaji wangu then tukaiendesha ile biashara yake kwa pamoja.
Pia kama unazjua biashara nyingine nzuri tofauti na hzo karibu uweze kuchangia uzi huu
••••●●●☆☆☆•••••••••••●●●●☆☆☆☆•••••
Nakaribisha maoni,ushaur na uchangiaji kwa maada tajwa hapo juu LAKINI watu wa FOREX,BITCOIN,JP MARKETS ,AIM GLOBAL,Q NET,FOREVER LIVING,SMARTLIFE na wengne kama hao naomba mkae pemben kwa sababu nazifahamu ROUGH znazochezwa kwny hzo biashara
☆KARIBUNI☆
••••●●●☆☆☆☆☆••○••●●●●☆☆•••••
Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo,
Nimekuwa na ideas za biashara mbali mbali na nimezichambua kwa mda sasa hatimaye nimejikita katika hizi biashara tatu
1.Biashara ya kuuza unga wa sembe,mahindi na maharage
2.Biashara ya kuuza madawa ya binadamu(Pharmacy)
3.Partnership
☆Mtaji uliopo ni 3M
☆Nipo Dar
1.Hii biashara ya kuuza unga niliplan kuifanyia maeneo yenye mzunguko wa watu wengi yaan towncentre ili kuwa na uhakka na soko.
(Unga nimeplan kuusafirisha kutoka mbeya/songea kulingana na unafuu wa bei).
lakn sasa nimefanya uchunguzi kwa maeneo ya kariakoo,,nikawa narudi taratbu kuja maeneo ya magomen,shekilango, ubungo nimeshangaa kukuta frem nyingi zimefungwa yaan watu wamefunga biashara mpaka sio poa
●》Swali langu
A.》 JE TATZO LAWEZA KUWA NI NN??? YAAN N KWA NN WAFANYABIASHARA WANAFUNGA SANA BIASHARA,, nahtaji kujua changamoto ili nisije ingia kichwa kichwa nikapoteza mtaji
B.》Kama kuna mtu anafanya hii biashara ya kuuza unga wa sembe naomba anijulishe je anashindanaje na watu wenye mtaji mrefu kama akina MO ambao tayari wanafanya hii bussiness na tayar wapo vichwani mwa wateja? (yaan wamekaririka)
C.》Kuna vibali vingine vya biashara vinahtajika tofauti na TRA?
D.》Je huo mtaji unatosha kuanza hii biashara?? yaan kulipia frem,TRA,Kununua mzigo na kusafirisha mzigo
2.Biashara ya pharmacy÷ baada ya kuchunguza kwa mda nikagundua kwamba wapo walokuwa wakifanya hii biashara nao wamefunga biashara japo wao sio wengi sana lakn:
☆Hapa kwny pharmacy inabidi niajiri mfamasia sasa naona kama mlolongo utakua mrefu (Lakin nakaribisha ushauri wenu)
3.Partnership÷ pia nilikuwa na wazo la kuungana na mtu ambaye tayari anafanya biashara (any standing bussiness) alafu mm nkawekeza mtaji wangu then tukaiendesha ile biashara yake kwa pamoja.
Pia kama unazjua biashara nyingine nzuri tofauti na hzo karibu uweze kuchangia uzi huu
••••●●●☆☆☆•••••••••••●●●●☆☆☆☆•••••
Nakaribisha maoni,ushaur na uchangiaji kwa maada tajwa hapo juu LAKINI watu wa FOREX,BITCOIN,JP MARKETS ,AIM GLOBAL,Q NET,FOREVER LIVING,SMARTLIFE na wengne kama hao naomba mkae pemben kwa sababu nazifahamu ROUGH znazochezwa kwny hzo biashara
☆KARIBUNI☆