Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,897
- 3,930
Natafuta tajiri ambae anaweza akafika shamba kununua ndizi aina ya Mzuzu wa njano,moja ya ndizi nzuri na tamu iwe kwa kuchemsha,kukaanga.
Shamba lipo morogoro mvuha,barabara nzuri zimapitika muda wote si kiangazi wala masika zipo kavu.
Shamba lipo morogoro mvuha,barabara nzuri zimapitika muda wote si kiangazi wala masika zipo kavu.