Natafuta sperm donor

Hii ni dalili mbaya kwa mwanamke yani unaomba kuzalishwa 2 nenda kwenye nyumba za ibada uombewe
 
Umri umeanza kukutupa mkono. Pia umeumizwa kimapenz, sawa inawezekana kuna sababu zilizojificha mbali na hizo hadi ufikie hatua ya kukata tamaa kiasi hicho, yaan kuamua liwalo liwe (kuzaa tu na yoyote) sio mbaya kuzaa lkn ni yupi unayezaa naye, yawezekana usichana wako kuna kitu ulikosea ndio maana uliumizwa, sitaki kuangalia nyuma kwamba ulikosea, usiku ni mrefu lkn ningekushaur uwe na uvumulivu kidogo labda utapata wa kuwa nawe ingawaje sijui umri ulio nao kuliko kuzaa na yeyote, hiyo ni ishara tosha kwamba usichana wako ulikuwa tofauti na wengine au muda mwingi ulitumia kwenye elim so umeshtuka umri umeenda unashindwa la kufanya unaamua. **lolot liwe
 
Taja umri wako na vipi kuna age limit kwa wanaume unaotaka?
 

Asante kwa ushauri
 

Why should I waste 30m Kwa kitu ninachoweza kukipata free? Hiyo amount si itanisaidia kulea mtoto!
 
Nadhani nimekidhi vigezo
Urefu ft 6.0
Mweupe
Dushe size 6.7"
Njoo pm kwa maelezo zaidi
 
mashart nafuu sana, toka nijiunge JF leo ndo nimesoma ke anatafuta me kwa haya mashart.
 
Reactions: MC7
Ngoja nije pm tufike mwafaka ila mizinga no.
 
weka picha yako.sioo unataka mwanaume mweupe,mrefu kumbe ww pimbi mweusi
 
Reactions: MC7

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…