Natafuta soko la soya

Natafuta soko la soya

bigpack1982

Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
75
Reaction score
20
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.

Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.

Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.

Natanguliza Shukran zenu.
 
kuhusu bei kwa kilo,inategemea na soko na soko,hiyo ni siri ya kibiashara ambayo siwezi I expose hapa hadharani.
 
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.

Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.

Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.

Natanguliza Shukran zenu.
Wasiliana na Falcon Animal Feeds ya Dar es Salaam, huenda wakahitaji bidahaa hiyo
 
soya ikiwa imesafishwa kwa mashine,bei ya kg Tsh 2000 kwa kilo,hiyo ni pamoja na kumfikishia mnunuzi mpaka kwenye eneo lake popote ndani ya Tz.
 
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.

Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.

Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.

Natanguliza Shukran zenu.

Waone "Silverlands Tanzania Limited, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"

Nimejaribu google contas zao but in vain,
 
Waone "Silverlands Tanzania Limited, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"

Nimejaribu google contas zao but in vain,

Ahsante sana,ntajitahidi nami kutafuta contacts zao
 
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Natanguliza Shukran zenu.

Ndugu,

Mie natafuta soya kwa wingi,sijui nitakupataje
 
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.

Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.

Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.

Natanguliza Shukran zenu.

Du huko mambelez hiyo bidhaa bei mbaya.
 
Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.

Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.

Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.

Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.

Natanguliza Shukran zenu.

http://efresh.com/
 
[quote uid=10655 name="Watu" post=16157814]Waone "<b>Silverlands Tanzania Limited</b>, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"<br /><br />Nimejaribu google contas zao but in vain,[/QUOTE]<br /><br />Ahsante sana,ntajitahidi nami kutafuta contacts zao

Contact.
Operation manager 076265212
 
[quote uid=10655 name="Watu" post=16157814]Waone "<b>Silverlands Tanzania Limited</b>, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"<br /><br />Nimejaribu google contas zao but in vain,
<br /><br />Ahsante sana,ntajitahidi nami kutafuta contacts zao

Contact.
Operation manager 076265212[/QUOTE]

Nashukuru sana mkuu
 
Back
Top Bottom