Pole sana ndugu, nathan kuna mahali una kosea hasa hasa kwenye internal control zako za biashara. Muhim ni kuangalia sehemu yenye risk kubwa na yenye ushawishi na kuithibiti vingine vitafuata mkondo.
Mfano. Wanapoweka oda na zinapolipwa je zinalandana? mzigo uliopo store na unaotoka na kinachopatikana kinaendana.
Jaribu kuweka watu wawili lakini independent na kila mtu umpe job description yake na ajue mipaka yake ya kazi.
Kuhusu software zipo nyingi sana zinazoweza tatua matatizo yako eg. QuickBooks au Tally ni nzuri na zinazotumika sana hapa kwetu kwenye SME & Individual.
QuickBooks.
Faida:
-Ni raisi sana kutumia hata kwa mtu asiye mwasibu
-Ina report nzuri sana, kwa maana unachokiitaji cha aina yeyote waweza kipata kwa muda wowote.
-Management ya Store na Accounts zipo well arranged naweza kusema,kiasi kwamba mpaka mtu aje kukuibia inaitaji utaalum wa ziada.
-Waweza kuweka credentials(mipaka) kulingana na watumiaji ulio nao na wakazifuata bila wao kujua.
Hasara
-Ni garama kidogo kama unaitaji orginal version na hii pia utaweza pata access ya mobile phone access kwamba mtu akiuza au mzigo ukitoka store utajua na utaweza jua store kimebaki kiasi gani.
Tally ERP
-Sio rahisi kutumia, inaitaji muda kuizoea na kuweza kufanya posting na uyamkini wa kukosea post ni mkubwa usipo kuwa makini au kutojua nn unafanya.
-Uzuri ina both Accounts & Payroll kwa wakati mmoja.
Excel
Hii ni nyepesi kwa kutunzia data zako na kupata taarifa kila unapo ziitaji. Ina changamoto lkn nayo inatumika sana.
Note: Hivi vyote ni vizuri na vinasaidia kulinda na kugundua uhai wa biashara yako. Lakini vinaitaji uwekezaji na utayari wa wahusika. Kwa maana, lazima watu wako hao uwapeleke training wajue kutumia, wanaweza wasiwe wote lkn wale kwenye sehemu nyeti ni lazima.
Tunauza na kutrain izi software, tucheki tushauriane na tuone ni kwa jinsi gani unaweza okoa biashara yako.
Tupigie:
0717 71 85 19 | 022 270 1320
Tuandikie:
training@comskills.co.tz
Karibu sana