MKUDE SIMBA
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 305
- 168
uzi wenyewe huu hapa Myshop Software - Simamia Vyema Duka Lako
Nicheck 0674925934Pole sana mkuu. Na mimi nnasubiria jibu hapa.
Pia mtazamo wangu ni kwamba,"Kama mtu sio mwaminifu na ana nia ya kukuibia hata ukiwa na software bado atapata namna ya kukuibia tuu".
Halafu sijaelewa hasara unapataje.Ni kwamba bidhaa hazitoki au zinatoka halafu fedha huioni?
Itapendeza kujua wanakuibiaje ili ujue unawadhibiti vipi .......
hii inaitwa myshop software inafanya unachohitaji vizuri sana, uzi wake umo humu,utafute kwa jina la myshop software, pia jitahidi kutenganisha kazi ya kupokea hela iwe ya mtu mmoja na ya kutoa bidhaa iwe ya mtu mwingine, pia unaweza kufunga camera dukani kwako
Thanks mkuu ngoja nichekuzi wenyewe huu hapa Myshop Software - Simamia Vyema Duka Lako
Kwani umeshafukuza wangapi mpaka sasa?Sasa ntafukuza wangap mkuu...
Suluhisho la tatizo lako ni kutumia accounting softaware km vile Tally au Quickbooks, hiyo itadhibiti mianya yote ya upotevu wa mali na pesa hapo dukani kwako.Msaada wadau,
Nina depo ya bia na soda kubwa tu sasa kuna vijana nimewaajiri wa nne naona vitambi vinawatoka, mashavu dodo na mmoja kanunuaa gari aina ya crown week iliyopita mwingine alinunua gari aina ya volts december wao ni kula bata tu ni ndugu so nimewaweka shop tusaidiane maisha.
Wakati biashara napata loss karibia kila mwezi faida ikipatikana ni kidogo sana. So kama kuna mdau anajua software ya shop stock profit anisaidie maana nakaribia kufunga depo coz sioni faida wakati naona mzunguko upo.
Naamini humu kuna wataalamu watanisaidia.
badili wawili kati ya hao wa 4 ili wasiwe wamezoeana sanaKati ya hao wanne mmoja n mtu w mahesabu ndo majuz kanununua crown
...