kupeleka watoto boarding kuna tegemeana na mambo mengi, kama alivyosema atakuwa anasafiri mara kwa mara,hakumaanishi kuwatupa kabisa, mie pia nimewapeleka boarding kwa sababu zangu binafc za kimaisha...Mom jaribu na na International skul-moshi....ipo shanti town.
Thanks Nyamayao, International school niliuliza ni veryexpensive to me kwa sasa, ningependa hizi za kawaida but english medium.
Naomba kwa wenyeji wa mkoa huu wanisaidie, ninatafuta english medium primary school yenye mazingira mazuri ya boarding, ninawahamishia watoto wangu moshi na ningependa wawe boarding kwa sababu nitahitaji kusafiri mara kwa mara. wako std2 na std 1.
kupeleka watoto boarding kuna tegemeana na mambo mengi, kama alivyosema atakuwa anasafiri mara kwa mara,hakumaanishi kuwatupa kabisa, mie pia nimewapeleka boarding kwa sababu zangu binafc za kimaisha...Mom jaribu na na International skul-moshi....ipo shanti town.
Katoe boarding watoto weweee, walimu wenyewe hawana manners. Miaka hiyooo dada yangu alikoswa koswa kubakwa na mwalimu mara kibao na wakati huo ndio ualimu ulikuwa wito na maadili kibao, sasa je? Acheni uvivu na visababu, ukiamua unaweza, mbona kuna mambo ktk maisha yenu mnaamua hamtaki ku-compromise? Kwanini sio watoto? Sisemi wakikaa nyumbani wako safe 100% na wala threat sio kubakwa tu, ila utamfundisha lini values za maisha?
Nasikiaga huko havinaga hata mtu wa kuvichambisha, poor kids.
Mom, jaribu MOSHI AIRPORT iko chini ya masista na ni nzuri wa kwangu yuko huko, give a try.
asante lily nitajaribu kupita hapo maana si mbali na mji
Nyamayao, moshi airport iko lower soweto.
Katoe boarding watoto weweee, walimu wenyewe hawana manners. Miaka hiyooo dada yangu alikoswa koswa kubakwa na mwalimu mara kibao na wakati huo ndio ualimu ulikuwa wito na maadili kibao, sasa je? Acheni uvivu na visababu, ukiamua unaweza, mbona kuna mambo ktk maisha yenu mnaamua hamtaki ku-compromise? Kwanini sio watoto? Sisemi wakikaa nyumbani wako safe 100% na wala threat sio kubakwa tu, ila utamfundisha lini values za maisha?
Nasikiaga huko havinaga hata mtu wa kuvichambisha, poor kids.
ipo kwa wapi hii Lily? cjawahi kuickia....vipi ada zao?
nimewahi kwenda hapo ila mazingira ni ya vumbi, ada kwa day ni laki6 usafiri unajitegemea, boarding ni mil1 na laki kadhaa ckumbuki. lakini ukimtoa mtoto international hizi za kawaida si itakua kumchanganya au anatumia sylabus ya Tanzania?hee kumbe hapo soweto tu na cjawahi kuickia, ningetamani kujua na ada yake ikoje, natamani wote wasome mkoa mmoja ili iwe rahic kwangu kuwatembelea, ukicheki nao naomba info mom...
ingekua wote tuna mawazo hayo yako tusingepeleka watoto shule si ajabu hata ww usingesoma maana huko washindako kuanzia asbh mpaka jioni wangefanyiwa mengi tu. je wewe una mtoto na je unamfundisha mwenyewe home na hana housegirl wala house boy? maana mtoto kufanyiwa uchafu hata nyumbani yawezekana na kama mwl mmoja alitaka kumbaka dadako basi si walimu wote wako hivyo mbona hata baba wanabaka watoto wao so tuwaogope baba wote?