hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Jamani ni shamba langu liko Chanika, ndani yake kuna mazao kama migomba, mihogo na papai
Sasa natafuta kijana ambae atakaa shamban na kuangalia mazao yangu na kumwagilia migomba
Hapo shamban nimejenga chumba na sebule ambavyo anaweza kukaa
Huduma za kijamii zipo za kutosha
Kwa yoyote ambaye yuko tayari anipm
Sasa natafuta kijana ambae atakaa shamban na kuangalia mazao yangu na kumwagilia migomba
Hapo shamban nimejenga chumba na sebule ambavyo anaweza kukaa
Huduma za kijamii zipo za kutosha
Kwa yoyote ambaye yuko tayari anipm