unataka kusema dar wewe ni mgeni au anataka kampaniWakuu Lediz and Jentomen
Leo koo linawasha nataka tu kuimba dada yenu. Naomba anayejua sehemu yenye karaoke kwa siku ya Ijumaa hapa jijini Daslam anijuze.
Natanguliza shukrani
usisite kututumia video clip basi hata audioWakuu Lediz and Jentomen
Leo koo linawasha nataka tu kuimba dada yenu. Naomba anayejua sehemu yenye karaoke kwa siku ya Ijumaa hapa jijini Daslam anijuze.
Natanguliza shukrani
Mkuu, nipo hapa Micassa ya riverside, yaani mtoto hatumwi sokoni. Ni weka niweke.. Kwanza viti vishajaa.. Bandika bandua..Micassa ya Tabata
calabash miaka hiyoooo na kuku wa kichomaKaribu calabash mwenge jumapili tens utaimba na band
Dah, mtoto mzuri ingekuwa tabora ningekukaribisha Oxygen Lounge. UsingejutiaWakuu Lediz and Jentomen
Leo koo linawasha nataka tu kuimba dada yenu. Naomba anayejua sehemu yenye karaoke kwa siku ya Ijumaa hapa jijini Daslam anijuze.
Natanguliza shukrani