Natafuta sana hela

Natafuta sana hela

fukunyungu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
717
Reaction score
195
Kwa mwenye taarifa jamani ani pm, natafuta saana hela Mimi ILA siipati na hata ikipatikana Ni hela mbuzi Tu, sasa basi kwa mwenye taarifa yoyote kuhusu upatikanaji wake kwa wingi naomba ani pm.
 
Chukua hiyo hela mbuzi ne. nda katengeneze mkeka fuata odds kubwa uziue Bayern,Barca na PSG hapo utarajie mawili manyoya au kugeuka mcharo hao jamaa wakifa wote kumbuka ni combination risk inaitwa hiiii
 
CHENGE ALISEMA VIJISENT

PROF TIBA AKASEMA hela ya mboga

nawe unasema hela ya mbuzi

nashindwa kuwaelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom