Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Siku hizi kuna warembo wenye jinsia za k.i.u.m.e😛hoto:......
 
Mi naona kabla hujaanza kupost kutafuta mchumba wa kiume, ungetafuta post za wanaotafuta wachumba wa kike, ukiona unafit wasifu wa anayehitajika na unaukubali wasifu wa mtafutaji basi unacheki naye.

Kwa sababu humu kuna threads kibao za watafuta wachumba wa kike kwa wa kiume. Ukikosa sasa ndio unakuja kuandika.

Mfano ukicheki hizi link hapa chini unaweza kukuta hawa watu hawajapata wanaowatafuta ukabahatisha.

https://www.jamiiforums.com/love-connect/610023-binti-aliye-tayari-kuolewa.html

https://www.jamiiforums.com/love-connect/610929-natafuta-mchumba-mke-daktari-nesi-au-mwalimu.html

https://www.jamiiforums.com/love-connect/609716-natafuta-mchumba-wa-kike.html
 
Habiri wakuu,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka isiyozidi 29 lakini haipo chini ya 25. Natafuta rafiki wa kiume mwenye Umri usiopungua miaka 30 but usizidi miaka 45. Awe anapenda kusocialize, asiwe anakariri kila kitu, awe pia anajua kubadilika kutokana na mazingira (coz hata mie nahisi nina sifa hizo)


Mwenye sifa hizo please unakaribishwa au hata kama unamfahamu mtu mwenye sifa hizo mwambie namtafuta kwa kweli.

Note:
Maisha ya upweke yamenishinda mie, natafuta wakubadilishana nae mawazo na pia nataka kumkabizi moyo wangu.

Karibuni

ulikuwa unamaanisha nini??
 
Habiri wakuu,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka isiyozidi 29 lakini haipo chini ya 25. Natafuta rafiki wa kiume mwenye Umri usiopungua miaka 30 but usizidi miaka 45. Awe anapenda kusocialize, asiwe anakariri kila kitu, awe pia anajua kubadilika kutokana na mazingira (coz hata mie nahisi nina sifa hizo)


Mwenye sifa hizo please unakaribishwa au hata kama unamfahamu mtu mwenye sifa hizo mwambie namtafuta kwa kweli.

Note:
Maisha ya upweke yamenishinda mie, natafuta wakubadilishana nae mawazo na pia nataka kumkabizi moyo wangu.

Karibuni

Nimeshawaambia wanakuja mama. Pole kwa upweke.
 
Seriously??? Basi U've found me.... just pm ... will get back seriously....
 
Weka picha wakuone
 

Attachments

  • 1393735285719.jpg
    1393735285719.jpg
    64.7 KB · Views: 210
tuwasiliane kwa pm fasta maana nahisi kuchelewa hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom